Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,148
- 137,142
Kwanza: niseme kua mimi SIO msemaji wa Hon. JM. I said namkubali, I don't have to prove it. I believe I have my own (objective or subjective) criterias ambazo nimeziweka hapo.
And I didn't ask you to prove your belief, or did I?
Pili: kuhusu akili yake nimeweka definition YANGU ya akili na naamini he fits that definition.
Kwa vile unaamini, sawa. Hamna neno.
Tatu: kuhusu hizo evidences za achievement, naomba umtafute google, usome achievements zake na ikibidi uconduct baseline survey in his constituency, in his office, in his party, in his neighborhood na kuingine ambapo as a leader he is expected to have an impact. Depending on the criteria you set, you might be able to measure whether or not he has made a positive impact.
Duh!:smile-big:
Nne: Mimi nimesema He can work in an institution and still promote his personal agenda sababu namuona akifanya hivo, being mfanyakazi wa serikali, and still be a leader with his own views and agenda.
Haya, naona unajificha nyuma ya 'imani' na 'maono' yako ambayo kwa kweli yako subjective sana. Hamna neno. Nilijua tu obejectively ni ngumu sana kuja na chochote to show for.
Tano: Umeniomba 100 people benefiting from his initiatives, siwezi kuwataja. Why 100 and not 1, or 1M?
Why not 1 or I mill? No reason. I just threw that number out there. But you can name two for convenience's sake.
furthermore, It might not be a directly visible benefit.
Why wouldn't it be?
think about this: if he shares his idea on social security with vinyozi wa ilala, then wakajiunga na wakachangia, na hatimaye wakafaidi health insurance, how do you measure this?
But this is a hypothetical. I asked for what he has actually done that has benefitted people in rural areas and not Ilala. Ilala is not rural unless there is another Ilala somewhere that I don't know of. So if he has a proven track record it shouldn't be that hard to point it out.
He doesn't empower people through a paternalistic approach ambapo beneficiaries wanabaki kumtegemea. He does it through so many ways.
Really?
Kama hapa he has made a good speech on energy, kuna CEO anaweza kua kafaidi na hizi explanations zake.
But you're just assuming that. And you know what they say about assuming....it makes an ass of you and.....
Sita: Ninaposema relatively open minded and welcoming criticism ni in relation to other MPs. Wapo wengi ambao wanaona kukosolewa au kupewa mawazo mbadala ni sawa na kuwaambia hawana akili. Mmoja wao ni Hamisi Kigwangala ambae aliwahi kunambia vibaya humu humu JF.
Wewe umemjua lini huyo Makamba? Ulikuwepo YA miaka ya 2003 -2005?
pamoja na wengine tuliuliza: kuandika makala ya maendeleo in rural area kwa kutumia lugha ya kiingereza ni ka manufaa ya donors, public opinion au wananchi wa rural area? akaona tunamuonea wivu.
Heheheeee labda hamkutumia lugha ya kistaarabu.
kwa kumaliza kabisa, I (unfortunately) can't restrict anyone in the way anachangia thread, but I can decide about how binafsi nachangia.
This is axiomatic my friend. But I hope we're still friends and you're not mad at me:smile-big:.
as much as I enjoy talking about him, nadhani inatosha.
You enjoy talking about him huh? Okay. cool.
Mi naendelea kujadili hoja. People started talking about him, I came in to express my (different) views, then you asked me why. Thank you for giving me the opportunity to express and explain my position. Nilipokea swali na I have responded. In a separate thread itakua vizuri uwaulize na hao wanao mpinga wanampinga kwa lipi, na wajieleze kama nilivyo jieleza mimi. kwa sasa mi naendelea na mjadala wa thread hii.
Wow...you sound kinda defensive and exasperated. Why?