Okay
Kafanya nini kukuaminisha kwamba ana akili? Na ana akili kiasi gani? Matokeo ya akili zake ni yepi? Na akili kushinda wengine?
Do you have any evidence of this?
What is many? What are they? And how have they benefited people in rural areas? And which rural areas are you talking about? Ikungulyabashashi or where exactly? Can you name 100 people who are not his relatives who have benefited?
Relative to whom and in what? Others don't welcome constructive criticisms?
Kwanza: niseme kua mimi SIO msemaji wa Hon. JM. I said namkubali, I don't have to prove it. I believe I have my own (objective or subjective) criterias ambazo nimeziweka hapo.
Pili: kuhusu akili yake nimeweka definition YANGU ya akili na naamini he fits that definition.
Tatu: kuhusu hizo evidences za achievement, naomba umtafute google, usome achievements zake na ikibidi uconduct baseline survey in his constituency, in his office, in his party, in his neighborhood na kuingine ambapo as a leader he is expected to have an impact. Depending on the criteria you set, you might be able to measure whether or not he has made a positive impact.
Nne: Mimi nimesema He can work in an institution and still promote his personal agenda sababu namuona akifanya hivo, being mfanyakazi wa serikali, and still be a leader with his own views and agenda.
Tano: Umeniomba 100 people benefiting from his initiatives, siwezi kuwataja. Why 100 and not 1, or 1M? furthermore, It might not be a directly visible benefit. think about this: if he shares his idea on social security with vinyozi wa ilala, then wakajiunga na wakachangia, na hatimaye wakafaidi health insurance, how do you measure this? He doesn't empower people through a paternalistic approach ambapo beneficiaries wanabaki kumtegemea. He does it through so many ways. Kama hapa he has made a good speech on energy, kuna CEO anaweza kua kafaidi na hizi explanations zake.
Sita: Ninaposema relatively open minded and welcoming criticism ni in relation to other MPs. Wapo wengi ambao wanaona kukosolewa au kupewa mawazo mbadala ni sawa na kuwaambia hawana akili. Mmoja wao ni Hamisi Kigwangala ambae aliwahi kunambia vibaya humu humu JF. pamoja na wengine tuliuliza: kuandika makala ya maendeleo in rural area kwa kutumia lugha ya kiingereza ni ka manufaa ya donors, public opinion au wananchi wa rural area? akaona tunamuonea wivu.
kwa kumaliza kabisa, I (unfortunately) can't restrict anyone in the way anachangia thread, but I can decide about how binafsi nachangia. as much as I enjoy talking about him, nadhani inatosha. Mi naendelea kujadili hoja. People started talking about him, I came in to express my (different) views, then you asked me why. Thank you for giving me the opportunity to express and explain my position. Nilipokea swali na I have responded. In a separate thread itakua vizuri uwaulize na hao wanao mpinga wanampinga kwa lipi, na wajieleze kama nilivyo jieleza mimi. kwa sasa mi naendelea na mjadala wa thread hii.