Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Habari nilizozipata hivi punde ni kwamba soko lililopo Mpanda mkoani Rukwa linalofahamika kwa jina la Buzega limeungua lote usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kwa wafanya biashara wa eneo hilo. Hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kufariki. Naendelea kufuatilia taarifa za chanzo cha moto huo na tutaendelea kuhabarishana kinachoendea. Poleni sana waahanga wa tukio hili.