Soko la vitunguu Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania

aina gani ya vitunguu? .... kama ni 'Red Bombay' soko lipo kenya ukipeleka tarakea rombo wananunua wafanyabiashara wa kenya

Mkuu kwanini Wakenya wananunua Red Bombay tu? hawanunui na aina nyingine? vp bei zao zipo vp?
 
Mkuu hebu niweke sawa ina maana vitunguu vyako vimekosa soko kabisa?.........umeshawahi kuwasiliana na walimaji wengine ukajua wanauza kwa watu gani?.......ninavyojua sehemu zile zinazolimwa vitunguu mara nyingi kuna watu huja kununua hata mashambani,sema inabidi uwe mjanja wa kujua bei za Kariakoo pia........for instance Kariakoo inaweza kuwa bei ya kuuzia 150,0000 wao huku wakata kukulalia kati ya. 100000 mpaka 120,000
 
:A S-confused1:HELLOW PEOPLE! NAOMBA MASAADA KWA YEYOTE MWENYE INFORMATION NA SOKO LA VITUNGUU HASAHASA LA KENYA NAIROBI. NAOMBA MAELEKEZO NA USHAURI
 
WAna JF habari za leo.
Muda wa mavuno ndio umekaribia sasa na kwasababu hiyo natafut soko la uhakika la vitunguu maji. Naomba kwa yeyote mwenye taarifa za wapi please nijulishe.
 
WAna JF habari za leo.
Muda wa mavuno ndio umekaribia sasa na kwasababu hiyo natafut soko la uhakika la vitunguu maji. Naomba kwa yeyote mwenye taarifa za wapi please nijulishe.

kwa sasa wakati unakaribia kuvuna jitahidi uandaae mazingira mazuri ya kuzihifadhi vitungu hivyo.na imani utakuja kupata soko zuri la wale wanaotoka komoro au kenya, siyo hao wa kariakoo na wa masokoni maana ni walaliaji sana
 
kwa sasa wakati unakaribia kuvuna jitahidi uandaae mazingira mazuri ya kuzihifadhi vitungu hivyo.na imani utakuja kupata soko zuri la wale wanaotoka komoro au kenya, siyo hao wa kariakoo na wa masokoni maana ni walaliaji sana

Asante sana ndugu. Nimeliwaza hilo pia tatizo namna ya kuhifadhi visiharibike kwa joto letu hili. Pia kama una idea ya namna ya kuhifadhi please assist.
 
Asante sana ndugu. Nimeliwaza hilo pia tatizo namna ya kuhifadhi visiharibike kwa joto letu hili. Pia kama una idea ya namna ya kuhifadhi please assist.

kwanza kikubwa ni wewe kujua unategemea kuvuna gunua ngapi za vitungu..ila cha kufanya ni kutengeneza chanja au kama una nyumba ywnye sehemu kubwa unazimwaga vitungu chini.sehemu inabidi hewa ingie basi vitungu vita kuwa ktk usalama
 
Sitaki nitie neno hapo,ni ushauri tu,kitunguu ya sahz cyo kuweka stoo niyakuuzia shambani bei ni sh 50alfu kwa sasa karibia maeneo yote,ukiweka stoo itakuwa imekula kwako.ningependa kujua umelimia wapi?
 
Sitaki nitie neno hapo,ni ushauri tu,kitunguu ya sahz cyo kuweka stoo niyakuuzia shambani bei ni sh 50alfu kwa sasa karibia maeneo yote,ukiweka stoo itakuwa imekula kwako.ningependa kujua umelimia wapi?
Ndugu hiyo bei mbona ya zamani sana naomba uchunguze tena au wewe unaongelea bei ya wapi. Mimi nimelima Same
 
Mkuu hapa zenji kilo 2500,piga hesabu gunia lako kilo ngapi na itakugharimu njuluku ngapi mpaka lifike!
 
Ndugu hiyo bei mbona ya zamani sana naomba uchunguze tena au wewe unaongelea bei ya wapi. Mimi nimelima Same

aise mm sinunui kitunguu nakushauri kitunguu uza kwa bei ulinayo hapo,kitungu cha sahz c ya kuweka stoo utaumia.BEI KWA SASA KWA MAENEO HAYA igawa mbeya 50alfu mangola karatu 50alfu hd 60alfu,ruaha 50alfu,HAYO MAENEO NDYO MAENEO YENYE UZALISHAJI MKUBWA HAPA TZ,km unapata bei nzuri hapo kwako uza haraka sna kabla haijaja mafuriko ya mavuno nakuanguka soko.USHAURI WANGU HUO
 
Mkuu hapa zenji kilo 2500,piga hesabu gunia lako kilo ngapi na itakugharimu njuluku ngapi mpaka lifike!
Ingekuwa kusafirisha mpaka huko ni rahisi ingekuwa safi sana kwani faida yake ingekuwa ya kuridhisha sana. Mavuno yapo sana tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni soko la uhakika kam ilivyo kwa wakenya wao wana uhakikawa kuuza
 
Sitaki nitie neno hapo,ni ushauri tu,kitunguu ya sahz cyo kuweka stoo niyakuuzia shambani bei ni sh 50alfu kwa sasa karibia maeneo yote,ukiweka stoo itakuwa imekula kwako.ningependa kujua umelimia wapi?

kitungu bei sahv ni zaidi ya hiyo 50..tena ukiwapata wakomoro ah ushashinda
 
Ingekuwa kusafirisha mpaka huko ni rahisi ingekuwa safi sana kwani faida yake ingekuwa ya kuridhisha sana. Mavuno yapo sana tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni soko la uhakika kam ilivyo kwa wakenya wao wana uhakikawa kuuza
Ndio piga hesabu mkuu tena hivi sasa ni ramadhani karibu ya sikukuu bei inaongezeka sana ,maana pilau na biriani inanyukwa kila upande!hata pilipili mboga 4000per kilo!carot 3500 per kilo
 
tatizo ni upate a good market.....
Masoko ya Tanzania yote ni longolongo kila mahali utapeli na madalali. Dalali anafaidi kuliko hata mkulima ambaye amepoteza muda, Hela na nguvu zake mpaka kufikia kuvuna. Hilo ndio tatizo kubwa la tanzania. Laiti serikali ingejua kilimo kingeweza kuwaweka vijana wengi sana kwenye hali nzuri ya kipato na hata kuongeza pato la serikali kama kungekuwa na soko la uhakika.
 
Kwani umelima kiac gani,nakushauri uende arusha soko la kilembero km upo hapo same ukangalia soko hapo unaweza ukawakuta wakenya hapo wananunua,ila usiende na mzgo fanya kwanza organization ndyo upeleke
 
Masoko ya Tanzania yote ni longolongo kila mahali utapeli na madalali. Dalali anafaidi kuliko hata mkulima ambaye amepoteza muda, Hela na nguvu zake mpaka kufikia kuvuna. Hilo ndio tatizo kubwa la tanzania. Laiti serikali ingejua kilimo kingeweza kuwaweka vijana wengi sana kwenye hali nzuri ya kipato na hata kuongeza pato la serikali kama kungekuwa na soko la uhakika.

mimi nikishalima kitungu mvumi morogoro hapo kupata nlipata ila soko likawa shida wakomoro nliyowategemea hawakuwepo wakaja madalali wa kko na masoko mngine wakanilaliaa sana alafu ilikuwa kipindi cha mvua nliahindwa hifadhi ah nkabdi niuze tu
 
Back
Top Bottom