Soko la vitunguu Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania

Inaonekana watanzania walio wengi ni waoga wa kutafuta masoko hasa ya nje na ndio sababu wakulima wengi wanaumizwa na kuonewa na madalali. Kama wakulima wakielimishwa masoko ya nje yanalipa sana kikubwa ni elimu na kupata urahisi ni kuunda kampuni. Mpaka sasa ni wakenya tu walioweza kupenetrate na kinachouma wanapenentrate kwa kutumia mazao ya watanzania waliyoyapark vizuri na kulebo made in Kenya.

Watanzania tunahitaji kubadilika otherwise hatutatoka ng'o
 
Nataka kulima vitunguu mwezi wa 10 kati ya Same au Mpwapwa..Naimba ushauri je ni miezi mizuri ya Ulimaji na wapi kuna hali.nzuri ya Hewa
 
Hapo kina mtu ana point nzuri, hao wa comoro wanapatikana wapi au hao wa kenya wanapatikana wapi? ku penetrate masoko ya nje ndo dili ila sasa, peke yako huwezi, ni kwa wakulima wa kitunguu muungane na mpeane taarifa na network ya soko, packaging ya kitunguu sio comlicated kihivyo, hatuna sababu ya kuwachukia wakenya nikuwapenda na kujifunza kutoka kwao na kuwapita na sisi kupeleka huko comoro moja kwa moja.
 
kitungu bei sahv ni zaidi ya hiyo 50..tena ukiwapata wakomoro ah ushashinda

kama hapa dar nimenunua 75elfu huko kunako limwa itakuwa vp kama unapinga elfu hamsin nitashangaa kwani piga usafiri. faida yamfanya biashara. madalali. wote halafu 75elfu jamaa kama bei ya50. uza
 
Nimetokaa uliziaa bei ya kitunguuu leo ni 120'000 kko

Hiyo bei ni kwa gunia la kg 100 au? Na je umeuliza kama mtu akiwaletea mzigo wako tayari kulipa papo kwa papo? Manake kadiakoo wana tabia ya kuzungusha sana muuzaji.
 
Habari zenu wakuu ,mie ningependa kujua bei ya vitunguu kwa sasa mashambani na sokoni (K'koo) kwa gunia.Mwenye kujua tafadhali naomba anisaidie .
 
Mkuu hapa zenji kilo 2500,piga hesabu gunia lako kilo ngapi na itakugharimu njuluku ngapi mpaka lifike!

Mkuu 124 Ali, mwaka jana ulitusaidia bei ya vitunguu huko zenji... je mwaka huu, tuko kwenye tarehe takriban zile zile, hebu tupe michanganuo za bei zilivyo... tunakushukuru in advance sisi ndugu zenu wa bara..

Usituangushe pamoja na mitazamo mbali mbali ya serikali moja, mbili, tatu, n.k. :)
 
Mkuu 124 Ali, mwaka jana ulitusaidia bei ya vitunguu huko zenji... je mwaka huu, tuko kwenye tarehe takriban zile zile, hebu tupe michanganuo za bei zilivyo... tunakushukuru in advance sisi ndugu zenu wa bara..

Usituangushe pamoja na mitazamo mbali mbali ya serikali moja, mbili, tatu, n.k. :)
Mkuu Rashidtanz as of today kilo ni 4000tzs.na tunataraji kupanda zaidi ya hapo coming eid ul fitr.kuhusu hoja ya pili usijali mbona mzee Lipumba keshaweka sawa huku
 
Back
Top Bottom