Habar ndugu zangu..poleni na pilika..Niko hapa na ishu ya vitunguu maji ivo basi Kama kuna mdau ambae anaeweza kua na mtandao mzur wa wanunuz wa vitunguu naomba tuwasiliane ikiwezekana tufanye kazi..Nina Zaid ya guni 500 za vitunguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app