MIFUGOKILIMO SUPPORT
Member
- Mar 18, 2015
- 51
- 0
Wana JF....Habarini
Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili tufanye biashara. Kwa sasa ninao kiasi wenye kutaka tuwasiliane Na. 0764 601903. UTAFURAHI..
Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili tufanye biashara. Kwa sasa ninao kiasi wenye kutaka tuwasiliane Na. 0764 601903. UTAFURAHI..