Soko la samaki wa chumvi Morogoro

flulanga

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2016
Posts
4,861
Reaction score
6,407
Habarini wapendwa katika Bwana.

Nauliza kama kuna wanaofahamu soko lasamaki wadogo nchi 2, nachi 2¼ wakukaangwa namafuta yamawese pamoja nachumvi, Samaki wakutoka tabora ugala. Kama kuna anayefahamu soko lake morogoro na sehemu nyinginezo naomba anijuze.
 
Kule Chuo kikuu Cha mzumbe Wana mabwawa Fulani Yana hao samaki fika huko ukaulize.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…