Wadau naomba kujua uhakika wa soko la kuku wa kienyeji na nguruwe mkoani Morogoro,nina mpango wa kuanza ufugaji huo katika tarafa ya Dumila,ila sijawa na uhakika sana wa soko lake mkoani humo,yoyote mwenye uhakika naomba anihuze tafadhali,asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.