Soko la kaymu

Soko la kaymu

Kaymu sio salama,wanaojitangaza wanauza wengi wao ni madalali hata ofic hawana,mie nilinunua simu yani ikawa ni shida kuipata,nimepeleka complain kwenye website yoa hakuan follow up..sikushauri kabisa
Yeah, most of them are brokers, yaani kuna simu nilitaka kununua nikazungushwa mara sijui mzigo vipi mara sijui vipi baadae nikagundua ni madalali na waganga njaa tu wanasumbua
 
sijaona afadhali ya jumia kwakwe yani hizo bei ni balaa hadi najiuliza wamekosea au wapo serious


check hiyo product bei yakehttps://www.jumia.co.tz/logitech-m90-wired-mouse-black-9141.html

Hiyo bidhaa labda wamekosea mouse ya 150k iko je hiyo?
mm juzi juzi Samsung shop wameniuzia Simu kwa 420,000/= na hapo kuna Dada namjua hilo duka akanambia nikomae na 420 ila bei ilikua imeandikwa 495,000/=

Sasa compare hiyo na hii simu ya jumia https://www.jumia.co.tz/samsung-gra...im-8gb-hdd-1gb-ram-8mp-camera-white-8355.html

Fatilia bidhaa nyingine uone labda
 
Ee, manunuzi kwa hawa kaymu {online market}....procedure ya kununua imekaajee......?

Hao ni matapeli wa kinigeria wapo dunia.nzima...! Sikushauri ufanye ununuzi wowote kutoka kwao!
 
Hiyo bidhaa labda wamekosea mouse ya 150k iko je hiyo?
mm juzi juzi Samsung shop wameniuzia Simu kwa 420,000/= na hapo kuna Dada namjua hilo duka akanambia nikomae na 420 ila bei ilikua imeandikwa 495,000/=

Sasa compare hiyo na hii simu ya jumia https://www.jumia.co.tz/samsung-gra...im-8gb-hdd-1gb-ram-8mp-camera-white-8355.html

Fatilia bidhaa nyingine uone labda

inawezekana walikosea ila cheki pumba nyingine hii apa

https://www.jumia.co.tz/samsung-vg-kbd1000za-smart-wireless-keyboard-black-8651.html
 
tembeleeni na " www.eswahili.com" Mara nyingi bei utakayoiona ni pamoja na usafiri, nimeshanunua bidhaa Mara 3 tena za kuanzia 300000- 550000 zote nilizipata in good condition
http://www.eswahili.com/
 
tembeleeni na " www.eswahili.com" Mara nyingi bei utakayoiona ni pamoja na usafiri, nimeshanunua bidhaa Mara 3 tena za kuanzia 300000- 550000 zote nilizipata in good condition
http://www.eswahili.com/

Ngoja tuitembelee
 
Mkuu unaweza sema ni average thinking ila nilishomaanisha mara moja haiwezi kutumika ku judge kitu mkubwa...
Nimefanya manunuzi ya Ebay kwa mara ya kwanza nkalizwa 50$ ila sikufa moyo na wala sikutumia hiyo kama standard ya ku judge eBay kuwa ni insecure place...
Nilipojaribu mara ya pili kitu ilitumia zaidi ya 40days haijanifikia nkafungua case Paypal baada ya kujua kuna cases nkatumiwa mzigo upya baada ya siku ule mzigo wa awali ambao nilifungulia case ukafika na ule niliolipiziwa nao ukanifikia after 2weeks....
Since then sijawai kupata shida yoyote na eBay

Should I use my 50$ experience to say kwamba eBay is insecure market place?
Kama haujaona hiyo point yangu then wewe ndo unatumia average thinking

Ebay wapo smart sana kuliko hawa waswahili,hawa hata complains hawajibu,hapa kuna watu zaidi ya 5 wanakuja na complain zilezile kuhusu kaymu bado haujaon kama ni tatizo??
 
hahah wabongo kweli tabu.

Kaymu sio kampuni janja janja kama mnavyo dhani, piga namba yao tena ukipiga haukatwi wana katwa wao utapata maelekezo chakufanya Toll-Free Hotline!
0800 710 024 (9am - 5pm) navyo jua mimi hawa jama unaweka order utapata txt ya namba ya muzaji una mpigia then uta amua uletewe mzigo au ufate mwenyewe
pia kwa wateja wa mkoani unatakiwa utume hela kwanza kaymu namba ya kampuni ni 611644 nlisha fanya hivi nkiwa mbeya kumbukumbu namba una weka order namba yako
then una lipa. hata usipopata mzigo wako ukiwapigia ukiwambia mbona sija pata mzigo wangu ukiwapa order namba yako wan kupa hela yako... hata kama ni muda umepita .. tatizo wana tumia tigo tu.. mi nlinunua powerbank ya 50000tsh
kwa mikoani uan weza mtumia muzaji hela kama una mwamini na msha fanya biashara na kama amekutafuta mwenyewe baada ya kuweka order ila hii njia sio salama sana kama ukitapeliwa kaymu hawata weza kuku saidia.


 
Hii ni picha ya bidhaa nlio weka order ila nli cancel bada ya kupata nyingine huku .Kwenye nyekundu nime ficha order namba na jina langu.... sasa kwa wanao sema wa Nigeria hao wana taka kuku ibia ume amini ngoja nkupe na link wakiwa wanafungua ofice yao branch kko


Tembelea hii link itakusaidia kujua kama ni wanigeria wazungu au wa Tanzania

MICHUZI BLOG: KAYMU YAFUNGUA KITUO UUZAJI WA BIDHAA KWA NJIA YA MTANDAO

Screenshot_1.png
 
hata mm, kaymu niliwahi wapigia cm ili kujua mkoani napat vp mzigo hawapokei nkaona wazush
 
Kwema wakuu msaada wa kuandika complain kaymu kama umenunua kitu halafu hakija kufikia
 
Hi kampuni ni ya kiduwanzi saana sijawahi kuona!! Mimi nimenunu mzigo tokea 17 July .15
mpaka leo sijaupata!! Huduma kwa wateja bure kabisa ukitoa taarifa kwa moja wengine hawana!! Hakuna coordination kabisa!! Sitakaa nirudie tena kununua bidhaa kutoka kwao.
 
Back
Top Bottom