Mleta Mada Nimeshakereka Hapa Nilipo Basi Tu Weka Namba Tufanye Biashara
mjr95 sasa kama katekwa mbona chato pa kawaida tu kashaniboa sana nilipoona tangazo nikajua nimepata wepesi wa kuagiza mzigo nashangaa mtu kakaa kimya au yuko foleni na punda pale traffic light
Hao dagaa unawauza kwa kilo,debe au gunia? Bei ikoje?
NdioUnawataka?
Ndio