Soko la bata aina ya Moscovy

Muu fuga Bata wa Nyama Pekin na Bata wa Mayai Khak campbell hawa wa mayaumi wanataga mayai hadi 360 kwa mwaka na hawa wa nyama wana mature wiki 8 ukiwalisha chakula cha Broiler.

Hao wakienyeji wanasumbua sana ukuaji wake.
 
Soko lipo ila kwa Bata hawa Exotic kama Pekin make wana nyama laini sana na nzuri. Sana.

Watu kam wachina wanakula sana Bata hata Wahindi pia na wazungu pia.

Ila bata wakufuga ni Bata wa Nyama wa kisasa
 
We fuga wakiwa wengi tangaza nyama yao inaongeza nguvu za kiume utaunza balaaaa manake wabongo tunaenda kwa matukio walikuja watu na mayai ya kwale wakapiga hela hela wakaja wa nyama ya punda wakapiga hela wakaja wa mafuta ya ubuyu bia wakapiga hela so mkuu jipange vizuri kwa propaganda tu utawauza balaaa
 
Kuna wakenya walikuja na ishu za sungura nao wakapiga hela sana
 

 
Muu fuga Bata wa Nyama Pekin na Bata wa Mayai Khak campbell hawa wa mayaumi wanataga mayai hadi 360 kwa mwaka na hawa wa nyama wana mature wiki 8 ukiwalisha chakula cha Broiler.

Hao wakienyeji wanasumbua sana ukuaji wake.
Boss hao Pekin na Khak wanapatikana wapi hapa Tz?
 
Kinachoongeza nguvu za kiume ni makanyagio ya kitimoto. Piga kanyigio la kuchemsha na supu yake kwa siku tatu, utashngaa
 
Sasa ivi ni shia seeds ndo ina trend.
 
Mi nawasikitikia tu hao vifaranga kuwekwa kwenye wavu, sio asili yao kabisa.
 
Sasa ivi ni shia seeds ndo ina trend.
ha ha ha ha ha ha kuna mtu nilimuona anakunywa nikamshangaa sana wanaambiwa sijui ukila huzeeki mara sijui zinaongeza nyege mara ooo tiba ya kila ugonjwa mara zinatoa sumu mwilini ha ha ha ha ha jamaa wanawapiga hela hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…