Ligi kuu ya voda com inakwenda ukingoni. Pamoja na ligi hiyo kwenda ukingoni tumeshuhudia ubabaishaji wa hali ya juu hasa kipindi hiki cha mechi za mwisho. Timu zilionyesha wazi kupanga matokeo.
Mfano mech ya simba na Azam. Simba na Ashante. Azam na Coastal. Pia waamuzi walionekana kuvurunda sana. Mfano leo pale mbeya watu wote wameona kilichotokea kwa mwamzi kutoa maamuzi yasiyo na stahiki.Azam imekuwa bingwa lakini soka lake halilidhishi kabisa.
Kuna timu zilikuwa bingwa Tanzania mfano Pan Africa chini ya washambuliaji mahiri kama Peter Tino. Ali katolila. Abdala Burhan. Zilitisha sana hakuna aliyelalamilka.
Pamba ilikuwa bingwa hakuna aliyelalamika. Majimaji. Tukuyu. Naomba TFF mjipange vzr ili madudu haya yasirudie tena mwakani.
Mfano mech ya simba na Azam. Simba na Ashante. Azam na Coastal. Pia waamuzi walionekana kuvurunda sana. Mfano leo pale mbeya watu wote wameona kilichotokea kwa mwamzi kutoa maamuzi yasiyo na stahiki.Azam imekuwa bingwa lakini soka lake halilidhishi kabisa.
Kuna timu zilikuwa bingwa Tanzania mfano Pan Africa chini ya washambuliaji mahiri kama Peter Tino. Ali katolila. Abdala Burhan. Zilitisha sana hakuna aliyelalamilka.
Pamba ilikuwa bingwa hakuna aliyelalamika. Majimaji. Tukuyu. Naomba TFF mjipange vzr ili madudu haya yasirudie tena mwakani.