Software za kufrashia simu

Kagoma360

New Member
Aug 6, 2022
3
10
Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.

Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
 
Hii kufrashi?
Ni kwa ajili ya kuwa ni simu za wizi etii?? 🤣 🤣 🤣 🤣
Sirewi kwanini mtu aamue tu kufrashi simu yake.....
 
Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.

Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Sp flash tool, odin na nyingine zinauzwa wadau watakusaidia

Ila itupe tu au weka hizo button kwanza sijajua kama itawezekana kuflash bila hizo button. How to put it into download mode

Cc wadau
 
Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.

Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Simu yako Ni model ipi?
 
Niko na simu hapa nataka kui remove screen lock mbaya zaidi button zake za volume up na down zmeharbika ningeweza kuiformat.

Katika pitapita zangu huko YouTube nikaona wahindi wanatumia MTK CLIENT TOOL na MTK UNIVERSAL TOOL kwa mwenye hizo software wakuu naomba ili niweze kutatua changamoto hii
Kwanini uflash wakati shida ni kutoa pasword kwanini usitumie dongle kuformat hiyo simu
 
Back
Top Bottom