Software ya mipango ya harusi!

Mandown

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
1,665
Reaction score
507
Wapendwa wana janvi, "NADESIGN" Software rahisi kwa ajili ya kusimamia HARUSI!
Inafanyaje Kazi!
Software hii inafanya kazi kwa kuanzia kwenye Bajeti,kuainisha pledges VS michango, kuoanisha gharama halisi kwa kila kamati Vs Bajeti , upembuzi kwenye mapungufu au ziada kwenye bajeti .
..... NI MATUMAINI YANGU MTANIUNGA MKONO WADAU
:confused2:
 
edit basi hy content yako maana imejirudia kama zile santuri (sahani) za zamani ikikwama ni hapo hapo inajirudia!
 
unatumia programu gani ? java? c sharp? vb ? .......? hebu funguka tumwage na ushauri wa kitaalamu...

ila ni Bonge la aidia
 
unatumia programu gani ? java? c sharp? vb ? .......? hebu funguka tumwage na ushauri wa kitaalamu...

ila ni Bonge la aidia
"ni kaaplikesheni" kadogo tu mkubwa.... hakana "tables" nyingi
 
Itawezesha mipango ya harusi kuwa 'one man's job'? Tunatumia muda mwingi sana kwenye kamati za maandalizi tukibishana na kunywa.
 
Mandown, utawafanya watu wawe wavivu zaidi wa kufikiri ikiwa mpaka harusi nazo zitahitaji kutumia software kufacilitate hizo shughuli.

Kwa nini usitumie nguvu hiyo kutengeneza applications bora na zenye kipato kikubwa ambazo zinaweza kuchanganya idea ya IT, mobile telecommunication & health ambayo iko kwenye chat kwa sasa na inaweza kusaidia wengi?

Appplication za kuendeshea pharmacies, hospitali, shule/vyuo, data collection tools kwa kutumia smart phones (makampuni mengi ya kitafiti hapa tanzania kwa sasa yanaelekea huku - unatengeneza light 'native application' kwa kutumia java ambayo unainstall kwenye smart phone ambayo data collectors wanaitumia kukusanya data na wanapomaliza wana-click submit data zinatumwa kwa njia ya internet kwenda kwenye database. Huko system inaziprocess na kuzi-analyze na kutoa majibu kwenye dashboard kwa njia ya web interface on real time bases). Jaribu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…