KENNY JEEZY
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 271
- 279
Habari zenu.
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, nahitaji software ya computer ambayo itaniwezesha kuhifadhi bei za bidhaa zangu (bei niliyonunulia, bei ya kuuza, bei ya mwisho n.k) msaada kwa anayefahamu anisaidie
Mimi ni mfanyabiashara wa kati, nahitaji software ya computer ambayo itaniwezesha kuhifadhi bei za bidhaa zangu (bei niliyonunulia, bei ya kuuza, bei ya mwisho n.k) msaada kwa anayefahamu anisaidie