Mwenye soft copy za vitabu vya ngaiza naomba tusaidiane kwa aina yeyote ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio fair kabisa mkuu, hii ni piracy. Yaan mtu anapoteza mda wake kuandika contents thn ww unakuja tu ukipate kwa bando la buku.Mwenye soft copy za vitabu vya ngaiza naomba tusaidiane kwa aina yeyote ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan mm nimesema nachukua bure???? Au nanunua tatzo sehemu nilipo ni kijijin sana hvyo nikinunua vitabu kufka inakuwa kaz kubwa sanaSio fair kabisa mkuu, hii ni piracy. Yaan mtu anapoteza mda wake kuandika contents thn ww unakuja tu ukipate kwa bando la buku.
This is fuckin unfair.
Inasikitisha sana kuona watanzania tunashushana sisi kwa sisi. Bora ungesema chand au vtabu vngne vya nje, lkn ngaiza huyu mzalendo na bado mnamshusha kwa kupata vitabu vyake bila hata kumchangia, sasa atapata wapi moyo wa kuendelea kuandaa contents kama vitabu havimuingizii faida.
Mi naomba hata kama kuna mwenye nayo basi aache kuisambaza hio softcopy coz huo ni wizi(piracy)
Inasikiitisha sana
Materials zote unazopata mtandaoni unalipiaSio fair kabisa mkuu, hii ni piracy. Yaan mtu anapoteza mda wake kuandika contents thn ww unakuja tu ukipate kwa bando la buku.
This is fuckin unfair.
Inasikitisha sana kuona watanzania tunashushana sisi kwa sisi. Bora ungesema chand au vtabu vngne vya nje, lkn ngaiza huyu mzalendo na bado mnamshusha kwa kupata vitabu vyake bila hata kumchangia, sasa atapata wapi moyo wa kuendelea kuandaa contents kama vitabu havimuingizii faida.
Mi naomba hata kama kuna mwenye nayo basi aache kuisambaza hio softcopy coz huo ni wizi(piracy)
Inasikiitisha sana
Nichek pm mkuuKwan mm nimesema nachukua bure???? Au nanunua tatzo sehemu nilipo ni kijijin sana hvyo nikinunua vitabu kufka inakuwa kaz kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah wewe jamaaa hoja zakooo baana.... Vitu vingine kausha tu.... Hahaha ur talkn to muchSio fair kabisa mkuu, hii ni piracy. Yaan mtu anapoteza mda wake kuandika contents thn ww unakuja tu ukipate kwa bando la buku.
This is fuckin unfair.
Inasikitisha sana kuona watanzania tunashushana sisi kwa sisi. Bora ungesema chand au vtabu vngne vya nje, lkn ngaiza huyu mzalendo na bado mnamshusha kwa kupata vitabu vyake bila hata kumchangia, sasa atapata wapi moyo wa kuendelea kuandaa contents kama vitabu havimuingizii faida.
Mi naomba hata kama kuna mwenye nayo basi aache kuisambaza hio softcopy coz huo ni wizi(piracy)
Inasikiitisha sana
Sio talking tooo much mzee. Kuna vitu inabidi uangalie, Unajua waTZ tunakandamizana sie kwa sie, afu mwisho wa siku tunakuja kulalamikia serikali wakati sisi kwa sisi ndo tunakandamizana.Hahah wewe jamaaa hoja zakooo baana.... Vitu vingine kausha tu.... Hahaha ur talkn to much
Huwez jua hali ya mtu... Hata me nimefanya copy sana
Ila kama haujawahi kuwa author sikulaumu coz utaona kawaida, lkn kwa sisi authors hicho kitu kinauma sana, hasa pale unapokuta mtu kapiga copy kitabu chako full.Sio talking tooo much mzee. Kuna vitu inabidi uangalie, Unajua waTZ tunakandamizana sie kwa sie, afu mwisho wa siku tunakuja kulalamikia serikali wakati sisi kwa sisi ndo tunakandamizana.
Sasa kama watu wakianza kutumia hizo softcopy zikazagaa mtandaoni, huyu Ngaiza yy atauza wp. Unajua jamaa anazunguka sana mashuleni kuuza vitabu vyake af mtu anakuja kuchukua just for free. Waibieni kina chand, nelkon, na authors wengne wa nje lkn kwa tz inabidi tufikiriane aisee.
Just Imagine ww ungekua ndo NGAIZA afu unakutana na thread ya hv ungejisikiaje.
Ngja nikuuulize swaliiii??? Ngaiza wewe ni naniyako??Sio talking tooo much mzee. Kuna vitu inabidi uangalie, Unajua waTZ tunakandamizana sie kwa sie, afu mwisho wa siku tunakuja kulalamikia serikali wakati sisi kwa sisi ndo tunakandamizana.
Sasa kama watu wakianza kutumia hizo softcopy zikazagaa mtandaoni, huyu Ngaiza yy atauza wp. Unajua jamaa anazunguka sana mashuleni kuuza vitabu vyake af mtu anakuja kuchukua just for free. Waibieni kina chand, nelkon, na authors wengne wa nje lkn kwa tz inabidi tufikiriane aisee.
Just Imagine ww ungekua ndo NGAIZA afu unakutana na thread ya hv ungejisikiaje.
Kakupa sabab ya msingi kwamba kwao ni mgumu kufika kwa wakat.... So anatafuta alternativeIla kama haujawahi kuwa author sikulaumu coz utaona kawaida, lkn kwa sisi authors hicho kitu kinauma sana, hasa pale unapokuta mtu kapiga copy kitabu chako full.
Thefreedom
Ticha and mentorNgja nikuuulize swaliiii??? Ngaiza wewe ni naniyako??
Haaahaaa. Poa bn mzee baba, naona uko obsessed na hacking kiasi kwamba kila kitu unakiangalia in "hacking point of view"Kakupa sabab ya msingi kwamba kwao ni mgumu kufika kwa wakat.... So anatafuta alternative
Unataka kuniambia wewe kila unachotumia ni original sio cracked???
all the best......Haaahaaa. Poa bn mzee baba, naona uko obsessed na hacking kiasi kwamba kila kitu unakiangalia in "hacking point of view"
Wengi tunatumia vitu vilivyo na piracy ila my point in kwamba kwa sisi wa TZ its better tusapotiane na kama kucrack basi tucrack vya abroad.
CASE CLOSED