ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 10,292
- 4,967
Ukimuondoa bashe wengine wote magalasa
ULISHAWAI SIKIA HATA SIKU MOJA ACT ILIMJIBU AFANDE SELE....CHAMA MAKINI HAKIWEZI BISHANA NA WACHUMIA TUMBO.
HIVI KATI YA ACT NA CHADEMA KIPI NI CCM B?
MAKAPI YOTE YA CCM YANAZOLEWA NA CDM, CHAMA KIMEPOTEZA DIRA, KIMEJAA WACHUMIA TUMBO MTUPU KUTOKA CCM.
Masirahi ni kitu gani? SikijuiKama mmemchukua wema mtawaacha hao.
ACT ni chama makini sana. Ni ngumu mchumia tumbo yeyote kujiunga na chama kinachojali masirai ya watanzania.
Kama kweli ni wasafi na wasema ukweli msisubiri kesho, wachukueni hata leoWote wamefukuzwa kwa makosa ya kusema ukweli.waliokua safi niwaletu zidumu fikira za mwenyekiti