Sofa set for sale.

Sofa set for sale.

Craig

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
1,676
Reaction score
3,141
Kwa anayehitaji sofa, yapo mawili moja ya watu wawili moja ya mtu mmoja. Rangi damu ya mzee kitambaa kigumu sponge safi. Imetumika miezi 6 tu.bei maelewano. Nipo dar. For serios buyers only ni pm.
 
Kwa anayehitaji sofa, yapo mawili moja ya watu wawili moja ya mtu mmoja. Rangi damu ya mzee kitambaa kigumu sponge safi. Imetumika miezi 6 tu.bei maelewano. Nipo dar. For serios buyers only ni pm.

Weka bei ya kuanzia.
 
Hilo tangazo lingekuwa la simu ningekushauri uweke brand name,model na bei ,bila picha kwani naweza google kujua unachouza,lakini kaka kwa sofa bila picha ,halafu kwa kupiga simu tu sijui nitajuaje hiyo sofa ilivyo,weka picha na bei,halafu ndio usubirie hizo simu,huo ndio ushauri wangu ,hilo tangazo lako ni kama kumuuzia mtu mbuzi kwenye gunia
 
Kwa anayehitaji sofa, yapo mawili moja ya watu wawili moja ya mtu mmoja. Rangi damu ya mzee kitambaa kigumu sponge safi. Imetumika miezi 6 tu.bei maelewano. Nipo dar. For serios buyers only ni pm.

Umetumia lugha gani mkuu? kama sijakuelewa hivi!!! WEKA PICHA NTAKUELEWA na hapo ndo utakuwa umemtoa mbuzi kwenye gunia tumemuona vinginevyo....:behindsofa::sorry:
 
Weka bei yakuanzia tutajua kama uwezo wetu unaruhusu au lah inaweza ikawa bei million kulko kuanza kusumbuana kwenye simu
 
Back
Top Bottom