Mwanamke aliye ndani ya ndoa hana kosa, kosa analo mume kwa kua jambo lolote kama silitaki basi mke wangu hawezi kulifanya, mkeo anapaswa kujua huogopi kumpoteza endapo tu ataenda kinyume na maelekezo yako.
Nyinyi wapeni wake zenu demokrasia na uhuru mnauona kwenye series za nchi za Marekani na Ulaya, nawahakikishia mwanamke ni kama maji, maji huchukua umbo la chombo, ukiyaweka kwenye kibuyu maji huchukua umbo la kibuyu, ukiweka kwenye beseni maji huchukua umbo la beseni.
Kuweni makini tena kuweni serious wake zenu wasiwapande kichwani.
Bora mia nzima kuliko elfu kumi iliyochanika
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.