Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Leo naomba kuuliza kwa wanandoa, instagram, facebook n.k. zina mchango wowote kwenye kuongezeka wimbi la talaka?
Ewe mwanamume unajisikiaje pale mkeo anapoposti picha kavaa kisuruali cha kubana akionesha matako instagram, halafu unakuta "likes" 1000 na comments za kusifia tako nyingi tu toka kwa wanaume.
Unakuta ana followers 12,000 halafu katika hao mia tano tu ndio wanawake unawaza nini? huyu mke uliyemuoa akachanganye wewe anayatoa udenda minjemba mingine huko.
Hivi mke wa ndoa kupost mapicha ukiwa kwenye mapozi mbalimbali huwa mnatangaza nini hasa?
Ewe mwanamume unajisikiaje pale mkeo anapoposti picha kavaa kisuruali cha kubana akionesha matako instagram, halafu unakuta "likes" 1000 na comments za kusifia tako nyingi tu toka kwa wanaume.
Unakuta ana followers 12,000 halafu katika hao mia tano tu ndio wanawake unawaza nini? huyu mke uliyemuoa akachanganye wewe anayatoa udenda minjemba mingine huko.
Hivi mke wa ndoa kupost mapicha ukiwa kwenye mapozi mbalimbali huwa mnatangaza nini hasa?