Mwamba alikua anajua[emoji460] El Hadji Diouf [emoji460]View attachment 2111724View attachment 2111725
Na mdogo wake mmoja wa Man U Eric Djemba-Djembahuyu jamaa alikuwa kiboko sema ndiyo hivyo pesa mwana haramuuuu hasa ukitokea kwenye umasikiniiii
Mkuu, pia Kuna mwamba anaitwa Peter Ndlovu, George Haghi, na Mzee mmoja Hristo MbulgariaDjemba Djemba hatari sana jina tu kwanza uukilisi
Djemba Djemba hatari sana jina tu kwanza ukilisikia