The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
- Thread starter
-
- #41
Dhambi zako nyingi sana yaani ukifika kule motoni wewe utakuwa kuni kwa wenzakoKamata mawani tupa kule.......... chukua biya tia hapa! Kulaaaaaaaleki!
Maada ya kusema hayo hebu nambie ukila pipi na maganda yake ni ukosefu wa maarifa au kutotaka utamu? Ile makitu bana unajitapikia mwenyewe kwenye mwili wako. Nani atakuwa amemlala mwenzie sasa? Agrrrrrrrrrrrrrrr
Dhambi zote sawa mbele ya Mungu, hata wewe unavyopiga punyeto unafikiri malaika wanavyokuangalia wanakupigia makofi?Dhambi zako nyingi sana yaani ukifika kule motoni wewe utakuwa kuni kwa wenzako
Kamata mawani tupa kule.......... chukua biya tia hapa! Kulaaaaaaaleki!
Maada ya kusema hayo hebu nambie ukila pipi na maganda yake ni ukosefu wa maarifa au kutotaka utamu? Ile makitu bana unajitapikia mwenyewe kwenye mwili wako. Nani atakuwa amemlala mwenzie sasa? Agrrrrrrrrrrrrrrr
Hahaha!! Ngoja ni-log out nikacheke vizuri kwanzaDhambi zote sawa mbele ya Mungu, hata wewe unavyopiga punyeto unafikiri malaika wanavyokuangalia wanakupigia makofi?
Bia iko likizo mpaka mshahara utakapotoka. Hivi sasa niko bize naipa mimba Valuu.upo bia ya ngapi..........
Hapo ni gemu kwanza then mambo ya ndoa baadaeHapo atakuwa anaomba game au ndoa? maana dah sipati jibu.
OK....pitia kule kwenye sredi ya kutongozana, waambie ODM niko huku nawasubiri.Hahaha!! Ngoja ni-log out nikacheke vizuri kwanza
Bia iko likizo mpaka mshahara utakapotoka. Hivi sasa niko bize naipa mimba Valuu.
Kunywa responsibly........
Vipi ushatongozana kwenye ule msredi wa AshaDii? Kama hujatongozana nakushauri uwahi mianaume itaisha aisee!
Siku ukiwa na hangover huwa najua kirahisi sana.wanaume hawaishi kutongoza
OK....pitia kule kwenye sredi ya kutongozana, waambie ODM niko huku nawasubiri.
Mjadala wa leo hapa ni je:
Ukipiga punyeto ukiwa umevaa kondom ni zambi?
Kama mkono una ukimwi na kikojoleo hakina, mkono unaweza kuambukiza kikojoleo ukimwi wakati wa kitendo cha kujijamii mwenyewe?
Kuna kitu umekisahau....Hapo hamna ndoa tena! ni dozi tu
Naaam....sasa huyu ndio kapatia kila kituHapo ni gemu kwanza then mambo ya ndoa baadae
Tatizo ni huyu dogo mtaalam wa kupiga punyeto, leo anatuwekea kondom hapa. Hivi wapiga punyeto nao wanatumia ndom?Rabeka.... Shem wangu wa ukweli... Tatizo nini hapa??
Tatizo ni huyu dogo mtaalam wa kupiga punyeto, leo anatuwekea kondom hapa. Hivi wapiga punyeto nao wanatumia ndom?
Na Soulmate wangu Gaga akikusoma hapa utamjibu nini? Afu hivi kapotelea wapi? Mwambie huku mvua haijanyesha ukame unaniangamiza.Shem taratibu mbona sasa wamuadhirisha dogo.... Sababu tu kakuzidi kete kwa SL ndo bifu ulete hapa.... C'mon! lol
Na Soulmate wangu Gaga akikusoma hapa utamjibu nini? Afu hivi kapotelea wapi? Mwambie huku mvua haijanyesha ukame unaniangamiza.
Ukabaila kitu kibaya sana...Tatizo ni huyu dogo mtaalam wa kupiga punyeto, leo anatuwekea kondom hapa. Hivi wapiga punyeto nao wanatumia ndom?
PA acha huyu mzee anataka kumiliki hadi na miziziShem taratibu mbona sasa wamuadhirisha dogo.... Sababu tu kakuzidi kete kwa SL ndo bifu ulete hapa.... C'mon! lol
Siku ukiwa na hangover huwa najua kirahisi sana.