So Samia gorvement is blackmailing meta?

So Samia gorvement is blackmailing meta?

Bi zandile

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
459
Reaction score
1,152
Tanzania threatened to block Facebook, Instagram and WhatsApp in the whole country if Meta refused to block accounts of 3 activists.

Meta banned two of them and restricted the third
1764925538136.jpg
1764925538136.jpg
 
Tanzania ilitishia kuizuia Facebook, Instagram na WhatsApp nchini kote ikiwa Meta itakataa kuzuia akaunti za wanaharakati watatu.

Baadae Meta ilipiga marufuku mbili kati hizo akaunti tatu.

Vipi hapo Samia hajahonga Meta?
 
Tanzania ilitishia kuizuia Facebook, Instagram na WhatsApp nchini kote ikiwa Meta itakataa kuzuia akaunti za wanaharakati watatu.

Baadae Meta ilipiga marufuku mbili kati hizo akaunti tatu.

Vipi hapo Samia hajahonga Meta?
Uwezo wa kuhonga meta hana ila labda hicho kitisho cha kuiungia hio mitandao nchi nzima
 
Kumbe ndio maana 😂

Wanalinda BIASHARA. This is an opportunity for Elon musk to come up with better apps or buy all of Meta groups like he did for Twitter.

Serikali haramu hii inaogopa wananchi wake inaodai wameipigia kura 98%
 
Mange Kimambi ni mtu na nusu. Yaani Serikali haramu inaona bora kufungia Facebook, WhatsApp na Instagram kuliko Mange kuongea humo.

Mtu mwembamba yule mwenye kilo 45 anawanyima usingizi viongozi haramu.

Mange Kimambi historia ya ukombozi haitakusahau kamwe.
 
Back
Top Bottom