the loaded
Senior Member
- May 19, 2018
- 155
- 317
If is a man, then you are safe, bt if is a woman ther are TWO THINGS involved....is neither a woman nor man.This guy is a confusor
If is a man, then you are safe, bt if is a woman ther are TWO THINGS involved....is neither a woman nor man.This guy is a confusor
Maelezo yako ndio yatathibitisha kama wewe siyo mzururaji!
Amezuia kuzurura.....siyo kwenda kufanya kazi!Sasa wale aliosema watakufa kwa njaa wasipotoka, hii Katazo lake la sasa litawazuia kufa kwa njaa?
Hivi hii nchi Kuna mfanyakazi? Wote wazururaji tuAmezuia kuzurura.....siyo kwenda kufanya kazi!
Amezuia kuzurura.....siyo kwenda kufanya kazi!
Watz wengi Ni job misfit, sawa na wazururaji tu hawana future plan yeyoteAmezuia kuzurura.....siyo kwenda kufanya kazi!
Hap umeangalia upande mmoja, vipi vichapo mbata na mitama....unajua tena hao jamaa wakishaambiwa tu sssskamata basi shughuli yao inakuwa juu ya wastani.Hapa kwa kauli hii tujiandae kwa maumivu maana wale vjn wa sirro watavuna za kupitiliza kung'arisha buti zao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho kama huna la maana usitoke nyumbani kwako japo Jana mliambiwa mpige kazi muache uvivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo gani hapo ni ela yako tu.Maelezo yako ndio yatathibitisha kama wewe siyo mzururaji!
Aliyemteua haoni mapungufu ya mtu wake anavyoboronga kila siku?Huyu mjinga akili zake haziko sawa. There is something very wrong in his upstairs! Au labda ni uoga wa watanzania ndiyo unamfanya atuchezee namna hii.
Isije kuwa unamzungumzia ndumila kuwili? Hadithi za kale kidogoKuna nyoka moja yeye hajulikani mbele wala nyuma pia wanasemaga ana vichwa viwili nimelisahau jina lake ukilifamu jina la huyo nyoka basi ujue ndio jibu lako hilo. Sawa mjukuu wangu
Kwani hata yeye hajulokani mbele wala nyuma?
Jiwe Jr.Ni yule ambaye anatumia madaraka ya ofisi yake na Leo kutoa kauli hii?View attachment 1409864
Na kesho yake anatoa kama hii nyingine ?
View attachment 1409865
Sent using Jamii Forums mobile app