G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,883
Wapi nimeomba? Nionyeshe!Lazima ugonjwa huu wa corona virus uipige familia yako mkuu kwa kuwa umekuwa ukiomba sana uumize watz as if familia yako inaishi mbiguni. Ngoja tusubiri.
Wapi nimeomba? Nionyeshe!Lazima ugonjwa huu wa corona virus uipige familia yako mkuu kwa kuwa umekuwa ukiomba sana uumize watz as if familia yako inaishi mbiguni. Ngoja tusubiri.
Unaandika lakini ndani yako kunakushuhudia kwamba hauko Sawa, ndio uzuri wa kile Mungu kakiweka kwenye nafsi zetu, Unaomba mabaya Kwa wenzio ili iweje, Kama adui yako usiyempenda Kwa sababu tu za kisiasa akifa unapata nini mkuu, na akifa si kwamba wewe utaishi milele na wewe si utakufa tu na inawezekana ukafa hata Leo Kwa kitu chochote kile na si corona tu inayouaHuu utampiga Makonda kwanza. Akiendelea na haya maujuaji yake nampa wiki tu. Halafu na yule mwili hauko vizuri so ajiangalie tutampotezamo!
Nimemjibu mlumumba mwenzako anayeniombea mimi nife kwa Corona na mimi nikaelekeza dua yake kwingine.Unaandika lakini ndani yako kunakushuhudia kwamba hauko Sawa, ndio uzuri wa kile Mungu kakiweka kwenye nafsi zetu, Unaomba mabaya Kwa wenzio ili iweje, Kama adui yako usiyempenda Kwa sababu tu za kisiasa akifa unapata nini mkuu, na akifa si kwamba wewe utaishi milele na wewe si utakufa tu na inawezekana ukafa hata Leo Kwa kitu chochote kile na si corona tu inayoua
Nimeona ushauri ninaoutoa kwa serikali wanaishia kubeza na kuchukulia mambo kirahisi. Yani wanaichukulia Corona kama kakitu kadogo hawaoni kuwa hata hapa kwetu imeshatoa uhai wa mtu! Basi na mimi nimechoka hivyo acha waipate sawasawa. Acha niwahi kwenye press ya Ummy!Soma comment yako ya mwanzo kwenye thread hii.