SMS za madem wa chuo

SMS za madem wa chuo

snochet

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
1,467
Reaction score
1,235
Baby naomba ukija hostel uninunulie Tigo ya elfu 5 au 10 niongee na mama,usisahau kuja na chips kuku lakini kuku awe mzima nipo na friends zangu afu hunie nadaiwa elfu 35 nilikopa afu baby hili weaving mi cjalipenda naomba elfu 45 nkasuke lingine c unajua weekend inakuja afu baby nadaiwa kodi ya hostel 280,000 LUV U MA BABY. BOY: nipunguzie vocha coz nilikopa tigo
 
tumezichoka hizi
Kaizer hata mimi najaribu kuwaasa hasa waliomaliza f6 na kuingia vyuoni kuwa siyo kuwa tunawachukia ila waangalie huwa tunafanya nini humu. Kuna mengine ya fb huku yasije please!
 
Last edited by a moderator:
ts hopeless ndo ni sasa umekaa ukaona hiki nichakupost hapa na nan atakuomba hivo vitu kama we mwenyewe kapuku kajipnge uje tena na uzi wamaana
 
Hamna jipya upuuzi mtupu,dogo nenda kapige msuli usije anza kubeba makarai
 
Baby naomba ukija hostel uninunulie Tigo ya elfu 5 au 10 niongee na mama,usisahau kuja na chips kuku lakini kuku awe mzima nipo na friends zangu afu hunie nadaiwa elfu 35 nilikopa afu baby hili weaving mi cjalipenda naomba elfu 45 nkasuke lingine c unajua weekend inakuja afu baby nadaiwa kodi ya hostel 280,000 LUV U MA BABY. BOY: nipunguzie vocha coz nilikopa tigo

nenda kasome ww, yaan ktk kufkria kwako hicho ndicho umeona cha maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom