sms ya mrembo...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,629
Kuna sms zingine ukitumiwa unabaki hoi...
hujui ujibu nini....

kama hii niliyotumiwa juzi....

"nina diploma ya kukumbatia,degree ya kutomasa,
masters ya kubusu,uzoefu wa miaka 20 wa kupenda,utanipa
kazi gani ndani ya kampuni ya mwili wako?"



.
mrembo mwenyewe ndo huyo hapo,
ni member hapa jf..
sijui nimjibu nini???
 
Asante ni neno dogo ila lina ujumbe mzito ndani yake!🙂
 
Mhh walinzi huwa hatulali
Mwambie iyo pic sio yake kaiiba sehemu ina muhuli, Hhehe hehe mwambie HUDANGANYIKI!

acha wivu
mi namwambia kazi umepata.
ila aonyeshe bidii kwanza..
 
Mhh walinzi huwa hatulali
Mwambie iyo pic sio yake kaiiba sehemu ina muhuli, Hhehe hehe mwambie HUDANGANYIKI!
sijui boss gani huyu hajui hata mitego ya kuibiwa,ngoja nimtafute kicheche mmoja nimsajili hapa tupige dili maana ming`ombe kibao.
 

Mhhhhhh! I reserve my comments 😉
 
we hulali?
sasa nimjibu nini huyu mrembo????

BOSS ni lazima uhakikishe kwamba hiyo picha ni valid isije ikawa unaingizwa mjini halafu akakwambia ahhhhh! nilifanya mazoezi saaaaana 🙂 basi WOWO lote likapotea...LOL! Mjini hapa BOSS you have to be extra careful before you commit. Good luck and All the best.
 
jamaa yangu naona hajababatwizwa na wale wa9ja,wakimpata na habari yapicha tu,watamkula kichizi,the boss kuwa makini mkuu.
 
jamaa yangu naona hajababatwizwa na wale wa9ja,wakimpata na habari yapicha tu,watamkula kichizi,the boss kuwa makini mkuu.

mkuu sio picha tu..
nimemuona live....
kuniibia itakuwa ngumu,siko easy ki hivyo.
bado namfikiria,sijampa kazi bado....
 
teh teh te eeee hh!
boss umeacha hoi chali kitandani sina mbavu - huna kifua!?
 
upo chali kitandani???
mhh,kifua kipi?
 
Mkuu yaani hiyo picha ulioyo iweka ndio inakunizingua? hata kama umemuona, that is not the basic thing, swali ni kuwa , je do you match with her in terms of tabia e.t.c. Do you want to take her as a wife? To me she doesn't deserve. Thats is my opinion, am sorry if I am wrong, but frankly speaking, sitoweka such a photo kwa mtu ninaympenda kwenye tovuti. Maoni yangu.
 

mkuu sijui how old are you..
but kadri utakavyokua,utakuja kuelewa
kuwa si wanawake wote wanataka kuolewa,
wengine wanataka a fling tu,
na sio relationship zote ni za kuoana,zingine for fun....
kuhusu picha,sijamuonyesha sura,na hapa kwenye
tovuti,wapo wengi wenye picha zao za kweli na wapo
very decent,umenipata??????
 
kimyaaaa!! sina tena la kuongeza!!
hata hivyo ndo zetu, ww huyo wa ukweli na ukimwachia huyo utapitwa na kila kitu mwanakwetu!
Anawaka namna hiyo pinduka tu ila using'ang'anie!!!!!!!
 
Hiyo picha ya ATLNIGHTSPOTS.COM......

Kama sikosei ilipigwa pale Gold Room...
 
Hiyo picha ya ATLNIGHTSPOTS.COM......

Kama sikosei ilipigwa pale Gold Room...

really?
basi atakuwa anafananai sana,
nimemuona live na yuko exactly
kama hiyo picha.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…