Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com
BEI ni 150 USD
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com
BEI ni 150 USD