Sms vehicle tracking system available in tanzania-chunga gari lako

Andrew123

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
7,026
8,567
Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com
BEI ni 150 USD
 
Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com


Hapo kwenye Red mkuu, unalipia bei gani? Au bei inaendana na aina ya gari? Lets say nna GX 100 ntalipia bei gani kwa hiyo service?
 
Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com


Let me have some details including prices and type of devieces to be installed, and what if the vihacle will be taken out of celuller network coverage area?
Push the info to: alphonce@alphonce.net
 
Unalipia 600 USD (unalipia once) kwa miaka yote ikitokea unataka kuuza gari yako tunaweza kukutolea hiyo device na kui-install kwenye gari mpya utakayonunua. Tafadhali hupaswi kubainisha kwa watu usiowaamini kuhusu kufungwa kwa kifaa hiki ndani ya gari yako. Ukifika ofisini kwetu,tunafunga na tunakufundisha jinsi ya kutumia hiki kifaa. ukituhitaji tunakuja popote Tanzania hata nchi jirani Kenya, Uganda, Congo DRC, Burundi, Rwanda.
 
safi sana. mbali na sms je kuna uwezekano wa kufanya tracking katika ramani? au huo mpango mnao...
 
Hizi ni moja ya Hot research projects kwenye nchi zilizoendelea; Nilitegemea institutes kama Nyumbu wawe na vitengo vya kufanya research na kudeseminate pamoja na kuzitumia kunadi magari yao. Lakini kwa kutanguliza siasa, tutaendelea kuwa wateja kama na hii technolojia tumeimport basi hatuna cha kujivunia. Kama mdau uliyeleta hiyo kitu wewe ndiye umekaa ukapiga code na mazaga zaga yake, basi unahitaji tuzo kamanda kwa ubunifu wako.
 
Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com


Mkuu Andrea,

Vipi hiyo device inaweza kuwa connected na simu/line (Voda/ tigo/ airtel) zaidi ya moja na zote zikawa zinapokea msg,

advantage ni kuwa kama line moja haina connection basi nyingine itakuwa online, au kama watu wawili (hus/Wife) wanatumia simu tofauti wanaweza kuwa connected na hiyo device na wote wakawa wanapata msg za movement ya gari?
 
Na wezi wakishajua kwamba magari yanawekwa vifaa vya aina hii, kitu cha kwanza watakachokuwa wanafanya ni kukitafuta na kukiondoka kabla ya kuanza safari na gari lako.
 
Kwa sasa tunaweza ku-connect kwenye line moja inategmea na COMMAND utakazoziweka maana kila kitu ni mpaka wewe mwenye simu utume COMMAND mfano unataka kujua gari lako lilipo unatuma neno F kwenda kwenye namba ya simu iliyopo kwenye gari na unarudishiwa ujumbe hapo hapo mfano baada ya kutuma Command F (yaani FIND) utarudishiwa Ujumbe Andrea(jina lako) (Namba ya Gari), 0.10 km of TEMEKE HOSPITAL, 7.98989,11:34,Jun 17....Zipo command nyingi mfano ku-set
1.SPEED LIMIT (unaweza kuweka speed isizidi 100kph ikizidi device itakutumia text kuwa dereva amezidisha speed
2.DISABLE/STOP ENGINE,(tafadhali usifanye hii COMMAND gari ikiwa inatembea barabarani unaweza kusababisha ajali
3.FIND NEARBY LOCATIONS,
4.TRIP REPORT(per trip)
5.ZONING (ukaweka zone kuwa gari yako isitoke nje ya Dar, ikitoka nje ya Dar itakutumia sms kwenye simu yako)
Ni teknolojia toka abroad,sisi ni mawakala tu hapa Tanzania
 
Kusema ule Ukweli DEVICE hii ni bora kuliko Alarm za Kwenye Magari ambazo wezi wa Magari esp kwenye PARKING za SHOPPING MALL(Mlimani City, Quality Plaza),HOTEL KUBWA KUBWA(Kilimanjaro,New Africa,Sea Cliff) ndio sehemu zao za kuiba.ile gari inawashwa tu unapata sms kuwa gari inawashwa(ON). Mnataka nini tena kwa usalama wa Magari yenu?
 
Hii safi sana, imesaidia kupunguza wizi wa magari mengi ughaibuni


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Wadau kuna hii SMS Vehicle Tracking System ambayo ni device inawekwa kwenye gari yako then inaunganishwa na simu yako so unaweza ku-itrack gari yako popote pale wewe ulipo duniani au gari yako inapokwenda popote duniani,ili mradi unatumia simu yako iliyounganishwa na device kwenye gari yako.
FAIDA:
1. Unalipia Mara 1 tu (Hakuna Malipo ya kila Mwezi)
2. Unaweza ku-monitor movement ya gari yako popote kupitia ujumbe wa simu (sms)
a. Kujua lilipo(location) endapo si wewe unaendesha, kama umemuazima mtu au limeibiwa, inakupa na landmarks mfano, Andrea T 502 CAB:Stopped, 1.45 km W of Tegeta Mwisho Bus Station,Dar es Salaam,TZ,7.86787,56.21156,10:32 Jun 13
b. Kusikiliza sauti ya anayeendesha maana linakuwa limetegwa Speaker ndani ya gari
c. Ku-STOP ENGINE popote pale
d. Inakupa Summary Report ya Movement ya Gari kwa siku nzima, kilomita ilizo tembea,
e. Unaweza kujua maeneo ya karibu ambapo gari yako imepaki/ilipo
WALENGWA: Makampuni ya Usafiri(Car Rental, Mabasi,Malori)& Wamiliki wa Magari Binafsi
Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana kwenye andreakalima@gmail.com
Mkuu hapo kwenye red sijakupata na sijajua utendaji wake!!
 
Back
Top Bottom