mapunda b
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 418
- 19
Sija jaribu kufungua kwasababu cina cha kubadilishaa nime rizika walivyo ni panga
kwani we ni wa round ipi kwanza mbona unatuchanganya mkuu!?
Sija jaribu kufungua kwasababu cina cha kubadilishaa nime rizika walivyo ni panga
Nikweli ujumbe wakuu,kwa anayetaka kuhama chuo itambidi alipie elfu 30 na huduma hiyo ufanyika online.
ukingia kwenye hyo link ya apply for transfer mwshon mwa maelezo wanasem CAS ipo for 3rd Round but soon iyo tranfer window itakuw opened,hyo nimeiona kw wale walichaguliwa kweny first ila kwa sec.round (profile ya jamaa angu) bado hawajawawekea hyo TRANSFER link.
Itafanyka in first in first served basis.
bila shaka najua mmenpata.
hapo nimekupata mkuu.......
Muache ubishi siku nyngn....fuatiliaa kitu kwanza kiundani ndo ujue ume dangany'wa au vipi
Mna fiki mi kuandika hivyo nilikuwa niki wa dangany'a au......acheni kukurupuka bnaa
hahahaa duh mbona na wewe unataka nichekesha tena mkuu........we umeanzisha uzi afu huna maelezo ya kutosha mimi ni wa 2nd round hiyo link kwa profile yangu haipo add sasa iv sasa nikubali vp wakati siioni mkuu au adi nikutumie screenshot ata ivyo iyo mada ya transfer ilishaongelewa na nikafaham ivyo kua is not accessible na ni kwa wa 1st round tuh ndo wanaiona iyo ...sasa wewe unakurupuka tuh oooh kuna sms ya transfer tcu vp kijana.........
afu mi nakueshimu sana na hakuna sehem niliyo kubishia zaidi ya kukuuliza tuh na wewe kushindwa tolea maeleza adi afike mtu mwingine ndo akusaidia
USHAURI:next time ukianzisha uzi hakikisha ushafanya uchunguzi na unamaeleza ya kutosha sio kukurupuka tuh.........Look at you!!
ukingia kwenye hyo link ya apply for transfer mwshon mwa maelezo wanasem CAS ipo for 3rd Round but soon iyo tranfer window itakuw opened,hyo nimeiona kw wale walichaguliwa kweny first ila kwa sec.round (profile ya jamaa angu) bado hawajawawekea hyo TRANSFER link.
Itafanyka in first in first served basis.
bila shaka najua mmenpata.
Mkuu hyo first in first served si ndo ile ya kuwahi?..anae wahi ndo anapata?
Yaah ni hivyo....kwamba yule atakaee wahi kutuma maombi wa kwanza yeye ndo atakuwa wa kwanza kutekelezewa kuhusu hayo maombi yake..
Ebu mwny maelezo ya kutosha atusaidie coz kuna mgongano na sintofaham... Kama haifany kaz iyo link xo watatoa official announcement tcu wenyew bada ya app kuisha au?
jaman hiv sisi wa waiting for aproval viiip ikiwa wanaweza temwa!! au imposbo iyo kitu??? wajuz wakuuuu
iv kwnz hii system ya kubadilisha chuo online imeanza mwaka huu au miaka yote walokua wanabadili chuo walikua wanaomba online? Mwny majbu tafadhali