BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
ahaaaaaaaaaaaaa yaani unijibu hivyo nakutosa! mmm ati t-shirt inanibana!
ahaaaaaaaaaaaaa yaani unijibu hivyo nakutosa! mmm ati t-shirt inanibana!
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana
majibu mazuri sana hasa ukiwa busySms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana
Sasa BJ, tueleze basi ni majibu gani ambayo ungeyapata ungefurahi?
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Ooh My Sweet Baby, I miss you so much, I wish ningekuwa Pembeni mida but usijali darling niko na wewe japo Kiroho
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Real? Ooh ma Sweet pole honey wangu, my phone was on ila nadhani ni network, am very sorry kusikia hujalala. I Love you my Baby, Mm...waaa!
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Mhh! Asante Mpenzi, nakula chakula kitamu kama chako nami natamani saaana ungekuwa karibu nikulishe, cause you are my Beatiful Queen
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Kweli, thats wonderfull any way as your King I always know what is good for my Queen, by the way ile TShirt imenitoa Bomba kishenzi I wish tungekuwa tunaongozana midaa
Ha ha haaaaa, hi safi sana hope watu watajifunza namna za kuwajibu Wapenzi waoSms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: OOOh baby nimekumiss pia sana tangu jana, leo sili nikashiba kwa kukuwaza wewe sabuni yangu ya roho..how i wish tungekuwa pamoja pia.nko ofisini etc ....love u bunny!
Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: OOh pole mami, simu yangu nilisahau kuichagi sasa ikaisha moto. i will make it up to you! kisses! mwah!
Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: ahsante mami, najua ulivyo stadi wa hiyo dpt, i miss your cuisine, najilia mchemsho tu hapa.......enjoy my dear!
Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: switi karibu, am glad unaipenda hiyo perfume, my gal has got to smell sweet... t-shirt bomba kila mtu anaulizia basi naringa kusema imetoka kwa my heartthrob! ahsante sana mami.
Haya habari ndo hiyo!!!
halaaa, nimecheka kwa huzuni! ni bora tu acnijibu kabisa kuliko kuaribiana cku.
yep, sometimes is necessary!
ahaaaaaaaaaaaaa yaani unijibu hivyo nakutosa! mmm ati t-shirt inanibana!
majibu mazuri sana hasa ukiwa busy
heheh hapa dalili si njema hata kidogo!
Sasa BJ, tueleze basi ni majibu gani ambayo ungeyapata ungefurahi?
Ha ha haaaaa, hi safi sana hope watu watajifunza namna za kuwajibu Wapenzi wao
Hapo vipi Beli, ungesuuzika?
[B said:Sms[/B]: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana
Hapo vipi Beli, ungesuuzika?
utaumia bure nawe tulia kwa kuwa anaweza kukujibu hivyo kumbe anayejibu siyo yeye ni nyumba ndogo au mwenzi wake wa pembeni.
kikubwa unamsubiria akija unamuuliza hivi ni wewe ulikuwa unanijibu zile msg au?ili uweze pata jibu la majibu husika.
Sometime majibu ya kwenye cm yanatupotezea mud ya siku kama hauko makini/
utaumia bure nawe tulia kwa kuwa anaweza kukujibu hivyo kumbe anayejibu siyo yeye ni nyumba ndogo au mwenzi wake wa pembeni.
kikubwa unamsubiria akija unamuuliza hivi ni wewe ulikuwa unanijibu zile msg au?ili uweze pata jibu la majibu husika.
Sometime majibu ya kwenye cm yanatupotezea mud ya siku kama hauko makini/
Sometime majibu ya kwenye cm yanatupotezea mud ya siku kama hauko makini/