SMS na majibu yanayokera!!!

i just received this: kwa wenye kutaka shule;

Never wait until its too late to tell someone how much u love, how much u care. because when they are gone, no matter how loud u shout or cry, they wont hear u anymore. For that matter, baby i love u so much. I miss u like the desert misses the rain..........


hapo vipi????? hata kama t-shirt inabana ahhahhahahahahhahaa
 
Jamani kama upo kazini si unajibu short and clear kwani kuna ubaya hapo je angekuchunia?

Kaka Fidel usije ukaja Jamvini unalalamika oo shemeji yenu anamegwa na msela mwingine, hivi vitu vidogo ndiyo huwa vinaimarisha mahusiano, kwani ukimjibu vizuri unapoteza nini.

Shauri yako usipomjibu vizuri halafu ikatokea Njemba ikawa inampa Humbly Answers usilalamike tu kwamba mbona siku hizi huni txt mpenzi

Ukisusa wenzio wala
 
Haaaaaaaaaaa....! Yaani leo nimecheka mpaka mwisho....!

Kaka Fidel usije ukaja Jamvini unalalamika oo shemeji yenu anamegwa na msela mwingine, hivi vitu vidogo ndiyo huwa vinaimarisha mahusiano, kwani ukimjibu vizuri unapoteza nini.

Shauri yako usipomjibu vizuri halafu ikatokea Njemba ikawa inampa Humbly Answers usilalamike tu kwamba mbona siku hizi huni txt mpenzi

Ukisusa wenzio wala

hapoooooooooo umeweza kabisa...wewe unayetuma majibu ya 'nipo' utapigwa chini hata msg hupati..nikipata mwingine wa kuniliwaza ndiye namtumia hizo msg.kwani wewe si tutaonana jioni shida iko wapi???
 
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo

Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge

Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you

Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana


BJ, kwa maoni yangu hapa kuna kutoelewana kwa namna fulani. Si ajabu katika mawasiliano yao ya mwisho hawa wapendanao hali haikuwa shwari kama inavyotakiwa au kuna kitu kingine zaidi ambacho kinamkwaza huyo Njemba. Si vibaya kuuliza mbona unanijibu kimkatomkato? Aulizaye ataka kujua ati! na labda jamaa anaweza kusema sababu ya majibu hayo ya kumtolea nje kipenzi chake hasa kama hana kawaida ya kujibu hivyo.
 
utaumia bure nawe tulia kwa kuwa anaweza kukujibu hivyo kumbe anayejibu siyo yeye ni nyumba ndogo au mwenzi wake wa pembeni.

kikubwa unamsubiria akija unamuuliza hivi ni wewe ulikuwa unanijibu zile msg au?ili uweze pata jibu la majibu husika.

Sometime majibu ya kwenye cm yanatupotezea mud ya siku kama hauko makini/

Pata picha wewe umenuna kweli kwa majibu hayo kumbe mwenzio hana habari mana mgombea mwenza ameshika usukani..ha ha
Hiyo kupoteza mud ni kweli kabisa, mana siku inaharibika na ugomvi juu!agrrrr
 
kuna wasichana wengine ni maumivu!THEY WILL NEVER REPLY U R TEXT.ukimuuliza atakujibu ''....kawaida sinaga ushirikiano na simu yangu...''!

Lol!nilirudisha vikosi mapema sana na kuchange plan!
 
Kaka Fidel usije ukaja Jamvini unalalamika oo shemeji yenu anamegwa na msela mwingine, hivi vitu vidogo ndiyo huwa vinaimarisha mahusiano, kwani ukimjibu vizuri unapoteza nini.

Shauri yako usipomjibu vizuri halafu ikatokea Njemba ikawa inampa Humbly Answers usilalamike tu kwamba mbona siku hizi huni txt mpenzi

Ukisusa wenzio wala

Si unajua kudeka tumezoea basi na sisi tuwe treated kama watoto siyo nyie tu jamani..Nipe nikupe, nichombeze nikuchombeze..
Abiria chunga mzigo wako, akitokea mtu na maneno matamu kweli hata kama halipi mtu anachanganyikiwa..ha ha
 
BJ, kwa maoni yangu hapa kuna kutoelewana kwa namna fulani. Si ajabu katika mawasiliano yao ya mwisho hawa wapendanao hali haikuwa shwari kama inavyotakiwa au kuna kitu kingine zaidi ambacho kinamkwaza huyo Njemba. Si vibaya kuuliza mbona unanijibu kimkatomkato? Aulizaye ataka kujua ati! na labda jamaa anaweza kusema sababu ya majibu hayo ya kumtolea nje kipenzi chake hasa kama hana kawaida ya kujibu hivyo.

BAK, majibu kama hayo yanaonyesha watu wana magomvi au wamenuniana. Ila mkiwa kwenye mud nzuri na shwari tu kimapenzi lazima ushangae mwenzangu nini kimemkuta ananipa short answers..pia ni bora kuuliza, mwingine anakuambia nipo okay tu hapo unachoka mana umezoea long and entertaining sms mkiwa na mood fresh..



kuna wasichana wengine ni maumivu!THEY WILL NEVER REPLY U R TEXT.ukimuuliza atakujibu ''....kawaida sinaga ushirikiano na simu yangu...''!

Lol!nilirudisha vikosi mapema sana na kuchange plan!

Ha ha, kumbe sometimes mnachuniwa jamani!..haipendezi hivyo ila si unamwambia baby sipendi ukimya wako anaweza kujirekebisha..usikate tamaa!
 
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?
Jibu: Nipo

Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?
Jibu: Simu iliisha charge

Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi
Jibu: Thank you

Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?
Jibu: Tshirt inanibana

ukiona mtu anakujibu hivi hataki kuwasiliana na wewe, hata mimi kama sitaki kuwasiliana na na mtu namjibu short hadi mwenyewe anaacha
 
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?

Jibu: OOOh baby nimekumiss pia sana tangu jana ;), leo sili nikashiba kwa kukuwaza wewe sabuni yangu ya roho..how i wish tungekuwa pamoja pia.nko ofisini etc ....love u bunny!

Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?

Jibu: OOh pole mami, simu yangu nilisahau kuichagi sasa ikaisha moto. i will make it up to you! kisses! mwah!


Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi

Jibu: ahsante mami, najua ulivyo stadi wa hiyo dpt, i miss your cuisine, najilia mchemsho tu hapa.......enjoy my dear!

Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?

Jibu: switi karibu, am glad unaipenda hiyo perfume, my gal has got to smell sweet... t-shirt bomba kila mtu anaulizia basi naringa kusema imetoka kwa my heartthrob! ahsante sana mami.


Haya habari ndo hiyo!!!:D

...muda wa ku sms namna hiyo mnautoa wapi?
 
Sms: Sweet, nimekukumbuka sana leo, natamani tungekuwa sote mida hii. Upo wapi mpenzi?

Sms: Yaani nimekutafuta kweli mpenzi, mbona ulikuwa hupatikani? Mwenzio sijalala nakufikiria wewe my love. Umenimiss?

Sms: Baby leo nakula chakula kitamu kweli. Sijui wewe unakula nini. Natamani tungekuwa wote. Karibu mpenzi

Sms: Honey, yaani ile perfume uliniletea inanukia vizuri ajabu. Yaani hapa nipo nasikia harufu yake na kukuwaza wewe, tena nakumbuka leo umetoka fresh na ile tshirt nilikununulia. Ukisoma hii sms wewe unapata hisia gani?

...Ukiona sms zimekuwa 'tamu tamu', ujue unapimwa joto... si ajabu sms itayofuatia itakuwa, "sasa mpenzi vipi ile hela uliyoniahidi siku ile?"

kama si hivyo, ujue kuna 'uovu' kafanya, anauficha kwenye kivuli cha '...sili silali nakuwaza wewe!'
 
...Ukiona sms zimekuwa 'tamu tamu', ujue unapimwa joto... si ajabu sms itayofuatia itakuwa, "sasa mpenzi vipi ile hela uliyoniahidi siku ile?"

kama si hivyo, ujue kuna 'uovu' kafanya, anauficha kwenye kivuli cha '...sili silali nakuwaza wewe!'


Hahah Mkuu Mbu apo kweli kabisa wengine wanaanzaga na gia kama izo, sasa inabidi ushtuke mapema tu manake ukizubaa kidogo unapigwa bonge la mzinga na kuchomoa huwezi......ikitokea umepigwa bao mfano credit ya simu ujue ndo mwisho wa hizo sms za malavidavi hutyamsikia tena hadi credit isshe..daamn:D
 
...muda wa ku sms namna hiyo mnautoa wapi?

mmnh my dear kwani ni mtihani,hapo hata nusu dakika haiishi.ushamridhisha wifi anachapa bonge la smile.then kila mtu siku inakwenda shwari kabisa.
 
There is (or should be anyway) a difference between a telegram, an sms, a tweet and an email.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom