Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,354
Leo kuna mjomba wangu amekuja kutoka bukoba,yeye ni dr sasa baada ya mapokezi tukaenda sehemu kupata moja moto moja baridi,tumefikaa baada ya kuagiza vinywaji ..do naona katoa smart phone yake mwanzo mwisho ana peruzii daaah,kumbuka sijamuona kama miaka 3 hivi,ukijaribu hata kuchomekea vp yumbani wapi?busy anaperuzi tu aise hizi simu siyo nzuri na mimi nikaamua kuingia jamii forum ,tumebaki tunaangaliana tu
