Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
- Thread starter
- #41
Shetani anawashambulia sana watoto wa wachungajiWANAWAKE WA DOT COM WALA HATASOMA HII maana haiwezekani, hata kama baba yake ni askofu na mama yake ni mchungaji na yeye kazaliwa kanisani, kasoma nasari kanisani, darasa lakwanza mpaka lasaba shule ya kanisa, sekondari shule ya masista.