zeceo
Member
- Mar 21, 2014
- 85
- 18
mkuu unaongea mpaka simu iishe charge ama sikio liume na bado unawasifia na kujisifia OMG!.
Hana kazi
mkuu unaongea mpaka simu iishe charge ama sikio liume na bado unawasifia na kujisifia OMG!.
smart... zamani BOL
Tatizo ni wapi nitapata vocha zao?,nina line yao na nimejaribu maduka na vibanda vingi vya simu hawauzi vocha zao.Inabidi wajipange waendane na changamoto.
Wako vizuri, tuache kuwaponda. Sijatumia service yao hata moja lakini technology wanayoitumia ni lazima watasumbua sana Mitandao GIANTS. Upo mtandao mmoja mkubwa wa Simu umeshaanza kupukutishwa wateja wake.
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'