Smart! let's talk! Huu mtandao mpya ni balaa, wengine mjipange

Smart! let's talk! Huu mtandao mpya ni balaa, wengine mjipange

Wewe unachinja ng'ombe na badala ya kuwapa watu nyama, unawapa mkia.Smart nini? Iko wapi? Imeanza lini? Usiandike habari ukafikiri kila mtu anaifahamu!

I miss you my friend.

Umeongea point sana.
 
Ngoja tusubirie feedback kwa wanaoendelea kutumia huo mtandao. ..
 
Wako vizuri, tuache kuwaponda. Sijatumia service yao hata moja lakini technology wanayoitumia ni lazima watasumbua sana Mitandao GIANTS. Upo mtandao mmoja mkubwa wa Simu umeshaanza kupukutishwa wateja wake.
 
Mtandao huu mwisho magomeni. ukifika Mwenge hamna mawasiliano.
not true nipo kibaha na nina enjoy very well na bol/smart,kinachonifurahisha zaidi ni kwamba internet is free! 24hrs daily and it's fastly <0798>
 
mkuu unaongea mpaka simu iishe charge ama sikio liume na bado unawasifia na kujisifia OMG!.
 
Wako vizuri, tuache kuwaponda. Sijatumia service yao hata moja lakini technology wanayoitumia ni lazima watasumbua sana Mitandao GIANTS. Upo mtandao mmoja mkubwa wa Simu umeshaanza kupukutishwa wateja wake.
Sasa wewe ambao hujautumia mtandao unasema wapo vizuri alafu unawabishia walioutumia na kusema otherwise ?
 
hivi kuna ula sasatel bado upo? Maana hawa jama waliniuzia moderm 120,000 baada ya mwaka wakawa wanauza 30,000 daaa nilichokaje
 
uje na uzi wenye sindano bwana sio ushone kwa kijiti .......mtandao gani huo sasa
 
Vipi kuhusu internet maana tushachoka kuibiwa na tigi na voda....kama wako fresh faster waje AR tuhamie kwa fujo.
 
Wako vizuri, tuache kuwaponda. Sijatumia service yao hata moja lakini technology wanayoitumia ni lazima watasumbua sana Mitandao GIANTS. Upo mtandao mmoja mkubwa wa Simu umeshaanza kupukutishwa wateja wake.

Si utaje tuu mkuu kwani unawasingizia?,
mii nawataja, wa kwanza ni VODACOM
 
Just, kuvuja kwa pakakacha ni nafuu kwa mchuuzi!
 
Si utaje tuu mkuu kwani unawasingizia?,
mii nawataja, wa kwanza ni VODACOM

Voda wana wateja 10,000,000+. Kwa investiment waliyonayo sio rahisi kuwa accomodate wote hao na kuwapa service ya kuwaridhisha. Wanachotakiwa kufanya ni ku-expand network capacity yao jambo ambalo nafahamu wanalifanyia kazi.
 
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.



Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'

Ndo nausikia leo huu mtandao lakini huku nilipo hakuna vocha zake wala laini zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom