Smart! let's talk! Huu mtandao mpya ni balaa, wengine mjipange

Smart! let's talk! Huu mtandao mpya ni balaa, wengine mjipange

holygrail

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2012
Posts
1,303
Reaction score
598
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.

Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
 
wadau wenzangu wa smart! Wapen somo wana jf banah!
 
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.



Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
ni smile au smart?
 
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.



Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
Wewe unachinja ng'ombe na badala ya kuwapa watu nyama, unawapa mkia.Smart nini? Iko wapi? Imeanza lini? Usiandike habari ukafikiri kila mtu anaifahamu!
 
inanyesha mtoa mada alikua bz sana...hajaweza kutujuza kiundani kuhusu huo mtandao...
 
ndio hao hao, BOL ndio Smart; by the way last time I checked inafanya kazi kwenye smartphone peke yake

Kama ndio hao bado hujanishawishi,wamekaa kihuni,hawajajipanga bado,wana no zao ukipga hazipokelewi,wana ac fb niliwauliza swali toka mwaka jana hawajanijibu hadi leo.
 
Sasa wangeanza kutoa huduma kwa miundombinu inayoeleweka kwanza-huu ujasiliamali uliojichanganya na usanii unatuchosha na kutuumiza walaji.
 
Hapana ndio hao hao hata mimi mwanzo nilidhani tofauti (sababu mpaka sasa website ya BOL ipo) ila nasikia walitoa na matangazo kwamba BOL is now SMART kwahio ndio wale wale

Sheraton hotel, Movein pick now Serena wizi mtupu shamba la bibi.
 
Mtandao huu mwisho magomeni. ukifika Mwenge hamna mawasiliano.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom