holygrail
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 1,303
- 598
dah! Hawa jamaa wako vizuri asee. Kwa wale wa 'mahaba niue' huu ndo mtandao wenyu banah! Unaongea kwa 79sh then mpaka sim iishe chaj au sikio liume. Yaani hapa nilipo tokea nimempigia wifi yenyu jana sijakata simu. Tunaongea kama tupo pamoja wajameni.
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'
Karibuni sana wenzangu wa 'mahaba niue'