Slow download speed - Windows 7 64 Bit edition with PD Proxy!

God knows

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
275
173
Hi Members wa JF Store!

Case hii imenikuta mimi na inawezekana na wewe pia unakutana nayo na usijue tatizo lipo wapi!

Siku za nyuma kidogo nilikuwa natumia PC ambayo ilikuwa na Windows 7 - 32 Bit na internet ya PD Proxy. Everything was fine on my side. Nilikuwa napata speed kubwa ya ku-download kama ambavyo modem yangu ingeweza ku-support (huawei e303)

Baada ya muda kidogo, ile PC ilikuwa hainifai tena kwa hiyo nikanunua PC nyingine which was a bit powerful, it had 64-bit processor & 6GB Ram. Kutokana na kwamba PC yangu sasa ilikuwa na uwezo, nilichukua uamuzi wa kuweka windows 7 64-bit edition.

Baada ya kuweka version hiyo ya windows 7, kilichofuata hapo niliifanyia configuration za pd proxy and I could again connect to the internet as I used to.

Internet ilikuwa vizuri kwa ajili ya ku-surf kwenye browser tu. Tatizo lilikuja kwenye downloads, the speed was very low hata nikiwa natumia IDM. Nilikuwa na-download for as low as 50KB/s. Nilijaribu kutafuta solution huku na kule bila mafanikio hadi pale nilipogundua kwamba lilikuwa tatizo la Microsoft wenyewe.

Kwenye 64-bit edition ya Windows 7, Microsoft wame-overlook settings za internet options, na cjui kwa nini hawajatoa fix kwa tatizo hilo.

So here is the solution if you are experiencing the same problem:

Nenda kwenye Control Panel > Network & Internet > Internet Options > Connections > LAN Settings.

Wakati upo kwenye LAN Settings, Untick all options kama ilivyooneshwa kwenye snapshot hapa chini then press OK. You should be good to go.

Internet Options.png

I applied the same solution and Now I am getting full speed internet access as I used to get in 32- bit edition. This solution also works fine if you are using LAN from the office.

See you next time!




 
  • Thanks for sharing God knows
  • ​Hili bandiko litakuwa msaada sana kwa wana JF wengine.
 
Last edited by a moderator:
Daah..kwa sisi wa android (troidvpn) hata connection atupati..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom