Sleep Apnoea

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Sleep Apnoea ni tatizo linalowatokea hasa watu wanene kupitiliza (obesity), wengine wanarefer kama Obstructive Sleep Disorder (OSD). Statizo hili ni la kutokulala vizuri, ukiwa umelala, neck muscles zinablock airway, hii inasababisha mwili kutokupata oxygen, as a natural body defence mechanism, ubongo unapata habari kuwa hakuna oxygen yakutosha mwilini, inabidi uamke uvute pumzi, baada ya muda unasinzia tena, air way inakuwa blocked tena.

Hali ikiwa mbaya katika muda wa dakika 60 unaweza kuamka mara 20. Hii inamaana hujalala vizuri, unaweza kushangaa kuwa katika masaa nane uliyojipangia kulala, umepata usingizi wa dakika 60. Matokeo yake unaamka asubuhi ukiwa umechoka sana, kibaya zaidi ukiwa unaweza kulala bararani wakati unaendesha gari, hii ni hatari kwako wewe na watumiaji wengine wa bara bara. Kwenye vikao vya ofisini ukawa ni mtu wa kusinzia, tatizo hili ninadhani wabunge wetu linawasumbua sana.

Maranyingi madaktari wanakurefer kwenye sleep clinic, dawa kubwa katika tatizo hili ni kupunguza unene, lakini ukihisi unatatizo hili ni vizuri kuwaona watalaam wakusaidie.
 
Nzuri, shukran kwa mada nzuri hasa kwa wale wanaopenda kunenepa unene sio mzuri sana coz una madhara mengi kuliko faida.

I hope kwa mada hii itasaidia watu kuelewa moja kati ya madhara ya unene na wenye hali hizo za unene wapite hapa kutupa kutia neno walau.

Thanks.
 


Huu ni mfano ninaoongelea ingawa unene wake hauonekani kuwa mkubwa lakini anamatatizo ya usingizi.
 
Kuna kajamaa ni kaha ka Kigoma ni ka taxi driver,kamenenepa kana tumbo la hatari na mala kadhaa humsikia akisifia sana unene wake na kuulinda kwa chakula ili asipungue,kesho nitampa ushauli japo kajamaa kanaweza kakanitukana navyokajua
 
Kuna kajamaa ni kaha ka Kigoma ni ka taxi driver,kamenenepa kana tumbo la hatari na mala kadhaa humsikia akisifia sana unene wake na kuulinda kwa chakula ili asipungue,kesho nitampa ushauli japo kajamaa kanaweza kakanitukana navyokajua
Hio ID yako G'taxi...hako kajamaa sio wewe kweli???
 
This is causes of sleep APNOEA

Your throat muscles and tongue relax more than normal.

Your tongue and tonsils (tissue masses in the back of your
mouth) are large compared with the opening into your
windpipe.

You're overweight . The extra soft fat tissue can thicken the
wall of the windpipe. This narrows the inside of the
windpipe, which makes it harder to keep open.
 
Kuna kajamaa ni kaha ka Kigoma ni ka taxi driver,kamenenepa kana tumbo la hatari na mala kadhaa humsikia akisifia sana unene wake na kuulinda kwa chakula ili asipungue,kesho nitampa ushauli japo kajamaa kanaweza kakanitukana navyokajua

Mala = mara

Ushauli = ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom