Slay queen sio mwanamke wa kuoa

Slay queen sio mwanamke wa kuoa

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,622
Reaction score
10,247
Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen

Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela

Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika

Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
 
Back
Top Bottom