Ni lini website iliwahi kuwa copied?
Are you serious?
Tukianzia hapo,hoja yako ni dhaifu kwa sababu hujui unachosema,you can't copy a website,but you can use a particular tempelate to create a website!
Kama ni tempelate walitumia,bado kosa lao sio kuweka ramani ya marekani,yawezekana walikuwa wana hamasisha watu walioko marekani!
Kosa lao ni hili,....
Website yao hiyo haiko updated,kwa sasa walipaswa kusema "Dr.Slaa kuelekea 2015" sa sijui kwanini wanasema for 2010!
Huo ni ugonjwa wa website nyingi za vyama,angalia thread yangu hii hapa chini:-
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/121317-vyama-vya-siasa-tanzania-na-website-zao.html