Yaani kwa kuchakachua nimewakubali ccm, hii ni ya wapi halafu watu wanakimbilia kukoment negatively bila kuuliza, kweli watanganyika ni wagumu kujisomea na kutafuta, mbona nimeenda sikuona kitu kama hii? Msidanganywe kirahisi! Ni IT hackers wa mafisadi wamewadanganya wavivu wa kufanya utafiti na nyie mkakubali!
Kwanza ninalaani yule aliyepachika tovuti ya Chedema iliyochakachuliwa.
Na hili limenifanya kuitafuta tovuti halisi ya Chadema. Mbali na ukurasa wa Dk. Slaa wa kampeni, nimeshindwa kuipata. Nilichogundua ni kurasa ambazo ama hazifunguki au kurasa za wapenzi wa Chadema. Pengine ni uelewa wangu mdogo wa ICT, au pengine haipo. Kama ni hivyo, ninawashauri watu wa ICT wa Chadema kujenga tovuti iliyo makini, inayokuwa "updated", tukikubali ukweli kuwa ICT ni nyenzo bora kwa nyakati tulizonazo kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Kuna yeyote anayo akatupa kiunganishi chake?
Ni lini website iliwahi kuwa copied?
Are you serious?
Tukianzia hapo,hoja yako ni dhaifu kwa sababu hujui unachosema,you can't copy a website,but you can use a particular tempelate to create a website!
Kama ni tempelate walitumia,bado kosa lao sio kuweka ramani ya marekani,yawezekana walikuwa wana hamasisha watu walioko marekani!
Kosa lao ni hili,....
Website yao hiyo haiko updated,kwa sasa walipaswa kusema "Dr.Slaa kuelekea 2015" sa sijui kwanini wanasema for 2010!
Huo ni ugonjwa wa website nyingi za vyama,angalia thread yangu hii hapa chini:-
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/121317-vyama-vya-siasa-tanzania-na-website-zao.html
check it here:-
Welcome to the Frontpage - Dr. Wilbrod Slaa 2010