Slaa pokea hoja hii

Slaa pokea hoja hii

koo

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2011
Posts
258
Reaction score
67
Hamjambo wana jamvi
Naomba kuchuka nafasi hii kumuomba dr W.P.Slaa akiweza kabla ya kondoka songea awe ametoa tamko juu ya kushuka kwa bei ya tumbaku inayo muumiza sana mkulima.
Kwa kulinganisha na gharama za uzalishaji mkulima atapunjika sana kwani bei imeshuka kwa karibu 40% serikali imekalia kimya swala hili na mkulima amekosa pa kwenda hivyo nakuomba dr katika maandamano ya leo hoja ya kushuka kwa bei ya tumbaku ijumishwe.

Nawasilisha
 
Maandamano ndio yananunua tumbaku?
Wanachadema sasa wana uchizi! Unaugua malaria unaenda kwa mwanasheria!
 
Maandamano ndio yananunua tumbaku?
Wanachadema sasa wana uchizi! Unaugua malaria unaenda kwa mwanasheria!

Hivi kumbe kuna watu hawajui maana ya maandamano. Kamuulizeni Hosni Mubarak. Maandamano ni njia ya kistaharabu kufikisha ujumbe, kushinikiza na hata kuleta mabadiliko. Duh, kazi kwelikweli.:smow:
 
Maandamo yamepelekea JOSEPHINE kupata 7.5 m kwa mwezi!
Sio mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Maandamo yamepelekea JOSEPHINE kupata 7.5 m kwa mwezi!
Sio mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Poleni sana wana ccm,yaani nyie ndiyo Mukama kawaleta kujibu hoja za Cdm,loh!POLENI SANA!
 
Maandamano ndio yananunua tumbaku?
Wanachadema sasa wana uchizi! Unaugua malaria unaenda kwa mwanasheria!

The following user groaned Jesuit for this useless post
genekai (13th May, 2011)
 
Anaogopa kitumbua kitaingia mchanga, kama sukari ilifika 2500 baada ya maandamano ya kanda ya Ziwa ikashuka mpaka 1700/1800 kwann hili la tumbaku lisiwezekane?
 
Hamjambo wana jamvi
Naomba kuchuka nafasi hii kumuomba dr W.P.Slaa akiweza kabla ya kondoka songea awe ametoa tamko juu ya kushuka kwa bei ya tumbaku inayo muumiza sana mkulima.
Kwa kulinganisha na gharama za uzalishaji mkulima atapunjika sana kwani bei imeshuka kwa karibu 40% serikali imekalia kimya swala hili na mkulima amekosa pa kwenda hivyo nakuomba dr katika maandamano ya leo hoja ya kushuka kwa bei ya tumbaku ijumishwe.

Nawasilisha
Huku TABORA wakulima walio katika vyama vya ushirika 18 wamegoma kuuza TUMBAKU YAO mpaka bei itakapopanda.
Chanzo VOT FM
 
Haya ni mambo ya msingi..ni lazima wakulima wasikilizwe.
Serikali iliyopo imeziba masikio.
Please!! viongozi wa CDM zungumzeni, pigeni makelele kwa nguvu zote ili kuzuia unyanyasaji huu dhidi ya wakulima wanyonge wa taifa hili wasiyokuwa na sauti yoyote dhidi ya serikali inayoongozwa kifisadi..
 
Maandamano ndio yananunua tumbaku?
Wanachadema sasa wana uchizi! Unaugua malaria unaenda kwa mwanasheria!

Unachoniudhi ni kwamba umechukua muda sana kujua kwamba jamaa hamnazo! Wanadhani wakikusanyika viwanja vya mfaranyaki wakatoa matamko ya kuwadanganya watu basi tayari bei itapanda. Bahati mbaya wako wengi hao wenye mtindio wa ubongo.
 
Maandamo yamepelekea JOSEPHINE kupata 7.5 m kwa mwezi!
Sio mimi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

:majani7:
VIWAVI mna nini? Ya mkwèré yamewashinda mnabaki kutapa tapa. Kama vipi :ban:
 
Back
Top Bottom