:lalala: there we go thread number 234,567,982,000 of lame attempts to sell a defective product...
Mi nasuiri hapa Quinine na Mwafrika nirudi kucheka... ila mkuu kusema uongo kama huu haufai maana si kwenye mtandao hata huko barabarani (si mjini hata vijijini) watu wanaongea kuhusu mgombea wenu na wameshampachika majina kama vile Dr Ahadi, Vasco Da Gama etc.
Propaganda hizi zote wala hazitu-affect in positive or negative way.. leaves us bored.. ila endelea tu kumnadi ni haki yako but thread hii itakufa mapema tu kama yale mengine ya propaganda...
Jamani Mwafrika, Quinine tunaomba zile picha zinazoambatana na maelezo kama haya :smile-big:
Mkuu Susuviri, Nilikuwa sijaiona hii.
Ngoja niingie studio kuleta picha za maktaba.