Hi wn jf. je kuna ukweli wowote kuwa kwa mujibu wa katiba ya CDM mtu haruhusiwi kugombea zaidi ya mara moja? hili nililipata leo asb kweny daladala. And infact michango ya wanachi kuhusu nxt president kwa mujibu wa mazungumzo ya abiria leo inaangukia CDM
Hi wn jf. je kuna ukweli wowote kuwa kwa mujibu wa katiba ya CDM mtu haruhusiwi kugombea zaidi ya mara moja? hili nililipata leo asb kweny daladala. And infact michango ya wanachi kuhusu nxt president kwa mujibu wa mazungumzo ya abiria leo inaangukia CDM
CCM ukiwatajia Dr w. slaa wana pata kizunguzungu,wanamuogopa mithili ya ELNINO.watakao amua nani agombee urais kupitia CDM ni wanachadema wenyewe.kelele zao hazituzuii kumchagua kwa mara nyingine kugombea.
First of all jirekebishe huo mwandiko wako hapa si Facebook bali ni jukwaa makini la Great Thinkers. Pili, Chadema tupo katika harakati za kukiimarisha chama katika kila kona ya nchi. Hivyo basi suala la Dr Slaa kugombea urais au kutogombea 2015 sio ajenda kwa sasa, muda wake bado haujawadia. Nadhani somo limeeleweka.
Hi wn jf. je kuna ukweli wowote kuwa kwa mujibu wa katiba ya CDM mtu haruhusiwi kugombea zaidi ya mara moja? hili nililipata leo asb kweny daladala. And infact michango ya wanachi kuhusu nxt president kwa mujibu wa mazungumzo ya abiria leo inaangukia CDM
Hi wn jf. je kuna ukweli wowote kuwa kwa mujibu wa katiba ya CDM mtu haruhusiwi kugombea zaidi ya mara moja? hili nililipata leo asb kweny daladala. And infact michango ya wanachi kuhusu nxt president kwa mujibu wa mazungumzo ya abiria leo inaangukia CDM
Katiba inaruhusu, Wanachama wanampenda sana, na bado anakubalika. Atagombea wewe usiwe na wasi wasi wapembe tuko wengi kuhakikisha anagombea kwa sababu yeye ndo jembe la ukweli kusafisha ufisadi.