slaa kutogombea tena?

lukme

Senior Member
Joined
Apr 18, 2012
Posts
191
Reaction score
24
Hi wn jf. je kuna ukweli wowote kuwa kwa mujibu wa katiba ya CDM mtu haruhusiwi kugombea zaidi ya mara moja? hili nililipata leo asb kweny daladala. And infact michango ya wanachi kuhusu nxt president kwa mujibu wa mazungumzo ya abiria leo inaangukia CDM
 
Mwenye softcopy ya katiba ya CDM aiweke hapa tuisome!!
 
Watz wotye wanajua ni dr.slaa,,,,,,, nyie endeleeni tukupoteza muda
 
Sijui unatumia kichwa gani kufikiri! Hii thread ulioanzisha kutokana na story za kwenye daladala ndio unafikiri gt waijadili? Sidhani!
 

CCM ukiwatajia Dr w. slaa wana pata kizunguzungu,wanamuogopa mithili ya ELNINO.watakao amua nani agombee urais kupitia CDM ni wanachadema wenyewe.kelele zao hazituzuii kumchagua kwa mara nyingine kugombea.
 
First of all jirekebishe huo mwandiko wako hapa si Facebook bali ni jukwaa makini la Great Thinkers. Pili, Chadema tupo katika harakati za kukiimarisha chama katika kila kona ya nchi. Hivyo basi suala la Dr Slaa kugombea urais au kutogombea 2015 sio ajenda kwa sasa, muda wake bado haujawadia. Nadhani somo limeeleweka.
 
..mimi nitampigia Slaa, au mgombea yeyote atakayemuunga mkono.

..Tuombe uzima tu.
 

Mulize bi Kiroboto
 
Dr. W. Slaa aligombea lini?
Mwaka 2010 aliteuliwa na chama chake CDM bila yeye kugombea
 
Katiba inaruhusu, Wanachama wanampenda sana, na bado anakubalika. Atagombea wewe usiwe na wasi wasi wapembe tuko wengi kuhakikisha anagombea kwa sababu yeye ndo jembe la ukweli kusafisha ufisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…