elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
namuona kwa mbali katibu mkuu wa cdm w.slaa akifafanua maana ya operation mbalimbali za cdm
namuona kwa mbali katibu mkuu wa cdm w.slaa akifafanua maana ya operation mbalimbali za cdm
Wananchi gani unaowaongelea wewe? Mbona wananchi ni sisi na bado tuna imani sn na Dr?Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CDM.
Anasema ye yuko straight na hapindi kama Katibu mkuu lazima asimamie nidhamu ya Chama na yeye kama Katibu Mkuu lazima awe mkali sana linapokuja katika swala la kuchukua maamuzi na kwa hilo lazma achukiwe na watu wachache wasiofuata miongozo na taratibu za chama.
Ameshaanza uongo tulipumzika kidogo kusikiliza pumba zake.Hili la kadi wanaspin kina mwigulu. Kumbe kuna diwani alihongwa milioni 20 wakafukuza
Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CDM.
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.
ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani.mbivu na mbichi ni zipi mzee
Ameshaanza uongo tulipumzika kidogo kusikiliza pumba zake.
Ameshaanza uongo tulipumzika kidogo kusikiliza pumba zake.
ameshindwa kuongoza apishe wengine.
Naona unasikia uharo unaposikia jina la Dr Slaaa likitajwa! Wewe ndiye msemaji wa watanzania???Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CDM.