Slaa awajibu polisi

Polisi wetu ni km pazia vile, upepo utakapoelekea nao wanakwenda huko huko pumbavvvvvvvvvvv sana

Mbona umewapa cheo hivyo? polisi wetu ni sawa na toilet pepa au kile kifaa cha kupunguzia kuenea kwa ngoma na mimba zisizotarajiwa
 
Dr. Slaa amesema OCD alitaarifiwa zaidi ya mara 5 lakini hakuchukua hatua stahiki kuwalinda wabunge wawili wa CDM.

Pia kasema kushindwa kwa serikali kushughulikia kero za muungano kunamfanya yeye asisherehekea sikukuu ya muungano. Anasema hana unafiki na anapenda kusherehekea kwa dhamiri safi na moyo mweupe jambo ambalo halizwezekani kwa mazingira ya sasa.

DR. SLAA take a mighty bow!

Cha kushangaza ni pale CHADEMA wanapolipia walinzi wa hawara ya Slaa Josephine na wanashindwa kuwawekea wabunge waliokuwa na hofu ulinzi. Vipi gwandas?
 
Jack Masamaki-aliyekuwa mgombea wa udiwani(CCM)kata ya Kirumba ni swahiba mkubwa wa Riz 1 na DCI Kanumba...na ndiye anayetuhumiwa kuandaa shambulizi hilo.You can imagine from there kwanini Jeshi la Polisi linajikanyaga kanyaga tu juu ya hili tukio...Lazima kuna maelekezo yanayotoka juu.

Anaitwa DCI Manumba na sio Kanumba(RIP)
 
amwataka kabla hawajamkamata wamkamate kwanza OCD ambaye alishirikishwa kikamilifu wakati Wabunge wa chadema wakishambuliwa

star tv[/QUOTE


Siasa za U-Yanga na U-Simba zitatufikisha wapi Watanzania?.Hivi kunatathimini yoyote juu ya dhana nzima ya mnyukano huu wa Polisi and the so called Dr. Slaa?.Napata shida pale judgement inapo kuwa affilliated na biasness or mapenzi ya moyoni ama zaidi ''mahaba''. Sioni sababu ya kushabikia majibu ya Slaa kwa upenzi, let us stick to the facts juu ya sintofahamu hii rather than USHABIKI wa mtaani.

Unahitaji kuwa kiongozi tena Rais, unapotoa shutuma kwa mihimili static kama JWTZ,Polisi,Mahakama na pengine Usalama wa Taifa kwa midadi ya kisiasa kuna shida hapa. Huwezi ukawa na complete overhaul ya system iliyopo immediately like that.

Slaa anapaswa kuheshimu Mamlaka iliyopo na kuepuka majibizano yasiyo na tija kwa Taifa hasa kwa kipindi hiki.Wote tunaoshabikia ama mshabikia Slaa hatuna kizingiti cha kuzuia asikamatwe. Mbowe alitisha kwa kujibu, tukamshabikia, akajisalimisha, akawekwa ndani zaidi ya siku tano na kupelekwa Arusha kwa Helicopta sisi tuliokuwa mashabiki wake tulifanya nini? Ama Slaa ni bora zaidi kuliko Mbowe?

Tuache ushabiki na tuzingatie facts kwa ustawi wa Chama na Taifa kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
 
Jack Masamaki-aliyekuwa mgombea wa udiwani(CCM)kata ya Kirumba ni swahiba mkubwa wa Riz 1 na DCI Kanumba...na ndiye anayetuhumiwa kuandaa shambulizi hilo.You can imagine from there kwanini Jeshi la Polisi linajikanyaga kanyaga tu juu ya hili tukio...Lazima kuna maelekezo yanayotoka juu.

Anaitwa DCI Manumba na sio Kanumba(RIP)
 
amwataka kabla hawajamkamata wamkamate kwanza OCD ambaye alishirikishwa kikamilifu wakati Wabunge wa chadema wakishambuliwa

star tv[/QUOTE


Siasa za U-Yanga na U-Simba zitatufikisha wapi Watanzania?.Hivi kunatathimini yoyote juu ya dhana nzima ya mnyukano huu wa Polisi and the so called Dr. Slaa?.Napata shida pale judgement inapo kuwa affilliated na biasness or mapenzi ya moyoni ama zaidi ''mahaba''. Sioni sababu ya kushabikia majibu ya Slaa kwa upenzi, let us stick to the facts juu ya sintofahamu hii rather than USHABIKI wa mtaani.

Unahitaji kuwa kiongozi tena Rais, unapotoa shutuma kwa mihimili static kama JWTZ,Polisi,Mahakama na pengine Usalama wa Taifa kwa midadi ya kisiasa kuna shida hapa. Huwezi ukawa na complete overhaul ya system iliyopo immediately like that.

Slaa anapaswa kuheshimu Mamlaka iliyopo na kuepuka majibizano yasiyo na tija kwa Taifa hasa kwa kipindi hiki.Wote tunaoshabikia ama mshabikia Slaa hatuna kizingiti cha kuzuia asikamatwe. Mbowe alitisha kwa kujibu, tukamshabikia, akajisalimisha, akawekwa ndani zaidi ya siku tano na kupelekwa Arusha kwa Helicopta sisi tuliokuwa mashabiki wake tulifanya nini? Ama Slaa ni bora zaidi kuliko Mbowe?

Tuache ushabiki na tuzingatie facts kwa ustawi wa Chama na Taifa kwa ujumla.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

mkuu vp ndio unaamka nn?aheshimu mamlaka ambayo haijiheshimu?acha ujinga mkuu jaribu kutumia akili hata kidogo.
 
Siasa za U-Yanga na U-Simba zitatufikisha wapi Watanzania?.Hivi kunatathimini yoyote juu ya dhana nzima ya mnyukano huu wa Polisi and the so called Dr. Slaa?.Napata shida pale judgement inapo kuwa affilliated na biasness or mapenzi ya moyoni ama zaidi ''mahaba''. Sioni sababu ya kushabikia majibu ya Slaa kwa upenzi, let us stick to the facts juu ya sintofahamu hii rather than USHABIKI wa mtaani.

Unahitaji kuwa kiongozi tena Rais, unapotoa shutuma kwa mihimili static kama JWTZ,Polisi,Mahakama na pengine Usalama wa Taifa kwa midadi ya kisiasa kuna shida hapa. Huwezi ukawa na complete overhaul ya system iliyopo immediately like that.

Slaa anapaswa kuheshimu Mamlaka iliyopo na kuepuka majibizano yasiyo na tija kwa Taifa hasa kwa kipindi hiki.Wote tunaoshabikia ama mshabikia Slaa hatuna kizingiti cha kuzuia asikamatwe. Mbowe alitisha kwa kujibu, tukamshabikia, akajisalimisha, akawekwa ndani zaidi ya siku tano na kupelekwa Arusha kwa Helicopta sisi tuliokuwa mashabiki wake tulifanya nini? Ama Slaa ni bora zaidi kuliko Mbowe?
Tuache ushabiki na tuzingatie facts kwa ustawi wa Chama na Taifa kwa ujumla.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Hivi wana JF kuna mtu amewahi kutafakari hali ingekuwaje kama walioshambuliwa na kukatwa mapanga wangekuwa ni Wabunge wa CCM na wanaotuhumiwa kufanya shambulio hilo kwa hao waheshimiwa ni wana Chadema!

Hebu fikirieni ugeni ambao wangeupata wakiwa Hospitalini Muhimbili;


  • Raisi akifuatana na Waziri wa mambo ya Ndani, IGP na Usalama wa taifa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ (Shimbo?)
  • Kamati Kuu ya CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu Wilson Mkama na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
  • Spika wa Bunge akiandamana na Wabunge wote wa CCM wakifuatiwa na Wabunge wa Upinzani.
  • Katibu wa Baraza la Mawaziri akiwaongoza Mawaziri wote pamoja na Makatibu Wakuu wao.
  • Viongozi wa Dini na mashirika mbali mbali ya kidini.
  • Viongozi wa Mashirika ya Umma, taasisi za serikali na Makampuni binafsi.
  • Viongozi wa vituo vya habari na TV vikiongozwa na TBC na vituo vyote vya habari Zanzibar.
  • Na kadhalika...

Je kauli zao zingetofautiana na aliyotoa Dr. Slaa? Bila shaka tungesikia;


  • Kauli za viongozi mbalimbali wakiilaani Chadema kwa kuhatarisha amani na utulivu hivyo kuleta machafuko nchini.
  • Kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya Chadema na ikiwezekana kukifuta na kuwakamata viongozi wake.
  • Kuitishwa kwa maandamano nchi nzima kikiongozwa na UVCCM dhidi ya vitendo vya kihuni kama vya wavuta bangi.
  • Kuitishwa kwa kikao cha dharura cha serikali na kuagiza hatua kali zichukuliwe ili iwe fundisho kwa wote wenye mawazo kama hayo.
  • Kumwagiza IGP na majeshi yote ya Usalama kuwasaka na kuwakamata waliomo na wasiokuwamo mradi wanatuhumiwa kuhusika na tendo hilo la kishenzi.
  • Na kadhalika...

Wakati haya yakifanyika, TBC ingepewa agizo moja tu, kuihamasisha jamii juu ya uovu wa vyama kama Chadema vinavyosukumwa na uroho wa madaraka. Na amini usiamini hili ndilo lingekuwa wimbo wa kila siku na habari kubwa kwa wiki nzima au hata zaidi, lakini maadam Wabunge wenyewe walikuwa wa Chadema na wahusika walikuwa ni wakereketwa wa CCM, Jeshi la Polisi limeamua kuwatisha na kulumbana na viongozi wa Chadema wanaolilia tu sheria ifanye kazi! Cha kusikitisha ni kuwa Watanzania mfano wa Ribosome na apolycaripto wako wengi na kama walivyokuwa wafuasi wa dola za kifashisti kama ya Hitler, dawa pekee ni mapinduzi.
 
Last edited by a moderator:
Cha kushangaza ni pale CHADEMA wanapolipia walinzi wa hawara ya Slaa Josephine na wanashindwa kuwawekea wabunge waliokuwa na hofu ulinzi. Vipi gwandas?

Ribosome,

ungekuwa na ujasiri wa kujitambulisha kwa jina lako,ningekwambia maana ya ulichozungumza,lakini kwakuwa huna chembe ya uthubutu,endelea kuwa limbukeni.waswahili walisema, asiyejua maana usimwambie maana.
 
Hivi wana JF kuna mtu amewahi kutafakari hali ingekuwaje kama walioshambuliwa na kukatwa mapanga wangekuwa ni Wabunge wa CCM na wanaotuhumiwa kufanya shambulio hilo kwa hao waheshimiwa ni wana Chadema!

Hebu fikirieni ugeni ambao wangeupata wakiwa Hospitalini Muhimbili;


  • Raisi akifuatana na Waziri wa mambo ya Ndani, IGP na Usalama wa taifa na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ (Shimbo?)
  • Kamati Kuu ya CCM wakiongozwa na Katibu Mkuu Wilson Mkama na Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
  • Spika wa Bunge akiandamana na Wabunge wote wa CCM wakifuatiwa na Wabunge wa Upinzani.
  • Katibu wa Baraza la Mawaziri akiwaongoza Mawaziri wote pamoja na Makatibu Wakuu wao.
  • Viongozi wa Dini na mashirika mbali mbali ya kidini.
  • Viongozi wa Mashirika ya Umma, taasisi za serikali na Makampuni binafsi.
  • Viongozi wa vituo vya habari na TV vikiongozwa na TBC na vituo vyote vya habari Zanzibar.
  • Na kadhalika...

Je kauli zao zingetofautiana na aliyotoa Dr. Slaa? Bila shaka tungesikia;


  • Kauli za viongozi mbalimbali wakiilaani Chadema kwa kuhatarisha amani na utulivu hivyo kuleta machafuko nchini.
  • Kutaka hatua za haraka zichukuliwe dhidi ya Chadema na ikiwezekana kukifuta na kuwakamata viongozi wake.
  • Kuitishwa kwa maandamano nchi nzima kikiongozwa na UVCCM dhidi ya vitendo vya kihuni kama vya wavuta bangi.
  • Kuitishwa kwa kikao cha dharura cha serikali na kuagiza hatua kali zichukuliwe ili iwe fundisho kwa wote wenye mawazo kama hayo.
  • Kumwagiza IGP na majeshi yote ya Usalama kuwasaka na kuwakamata waliomo na wasiokuwamo mradi wanatuhumiwa kuhusika na tendo hilo la kishenzi.
  • Na kadhalika...

Wakati haya yakifanyika, TBC ingepewa agizo moja tu, kuihamasisha jamii juu ya uovu wa vyama kama Chadema vinavyosukumwa na uroho wa madaraka. Na amini usiamini hili ndilo lingekuwa wimbo wa kila siku na habari kubwa kwa wiki nzima au hata zaidi, lakini maadam Wabunge wenyewe walikuwa wa Chadema na wahusika walikuwa ni wakereketwa wa CCM, Jeshi la Polisi limeamua kuwatisha na kulumbana na viongozi wa Chadema wanaolilia tu sheria ifanye kazi! Cha kusikitisha ni kuwa Watanzania mfano wa Ribosome na apolycaripto wako wengi na kama walivyokuwa wafuasi wa dola za kifashisti kama ya Hitler, dawa pekee ni mapinduzi.

Natambua uwepo wako jembe langu Mag3!
Umeisawazisha taharuki nzima, kwa pande zote!
 
Last edited by a moderator:
polisisiemu kweli mnatumika vibaya,kila zama zinawakati wake mkumbuke,hata kusoma alama za nyakati inawawia vigumu?! Nguvu ya umma haitishwi na polisi wala magereza!! Simamieni haki na muwe walinzi wa usalama kama wajibu wenu unavyo pasa.yatajawakuta tu kwani ni suala la muda tu.kama mnajua kukamata kwanini msimkamate maige anaeuza twiga kinyemela?msitumie masaburi katika kufanya kazi inapohitajika akili
Hata mahakamasisiem nayo ipo makini kusimamia kesi zote za majimbo ya CDM
 
Natambua uwepo wako jembe langu Mag3!
Umeisawazisha taharuki nzima, kwa pande zote!
Hiv imagine ile SMG aliyokutwa nayo mzee wa Nashera angekutwa nayo Godbless Lema ingekuwaje??polisi wangesema hata zile dalaz ni za mtutu,ila kwa kuwa gamba huwapooza wakabadilisha eti ni rifle za kawaida,duuuh
 
Back
Top Bottom