utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Ccm ni mashetani! Waondoke kwa style ya mabina! Puuuuuuuuuuuuuuuu!
gongo ni hatari kwa afya yako hasa ubongo
Ccm ni mashetani! Waondoke kwa style ya mabina! Puuuuuuuuuuuuuuuu!
tatizo lenu ni picha au ujumbe?mbona mandela alivyofariki amkutaka iwekwe picha ya wakati ana miaka 95?yaani ccm mpo kishabiki sana mpaka tuna hoji vichwa vyenu mnatumia kufikiri au kufugia nywele
Hii PICHA NI YA MWAKA 2010 WAKATI wa uchaguzi mkuu. mleta mada anajaribu kuuhadaa umma
OK, hebu tuubali kuwa picha ni ya mwaka 200 hivyo tuiondoe kwenye thread. Lakini je na hoja alizotoa nazo zitatoka?
nyie ni wauwaji wakuu. chadema ilaaniwe daima
kama amechakachua picha atashindwaje kuchakachua maandishi. weka video
hoja ya slaa kwa sasa ni kuhalalisha gongo. mleta mada amechakachua picha na ujumbe. hatuwezi kuamini uzushi huu mchana. asubiri usiku tukiwa usingiziniOK, hebu tuubali kuwa picha ni ya mwaka 200 hivyo tuiondoe kwenye thread. Lakini je na hoja alizotoa nazo zitatoka?
Tangu lini laana toka kwa shetani ikamsumbua mtu wa Mungu?
Usivyokua na akili shetani wewe katika maandishi yote ulichoona ni picha tu?Ni heri angezaliwa nyumbu kuliko wewe katika hii dunia badala yako.Hii PICHA NI YA MWAKA 2010 WAKATI wa uchaguzi mkuu. mleta mada anajaribu kuuhadaa umma
ameng'ang'ania kivipi?angetaja na mbowe kung'ang'ania uenyekiti ningefurahi sana,kwamba ndo chance yake ya kutongozea ..........!!
Watu wa Mungu mnarusha mabomu kanisani.
wanaoshikiwa akili? Teh teh, mkuu wengi wako vijijini mkuu!Jibu swali, kilichoandikwa kipo au hakipo? Kina mantiki au hakina? Hicho ndicho cha muhimu zaidi kuambiwa Watanzania. Unaogopa umati maana mnajua idadi ya wanaoshikiwa akili inazidi kupungua kila kukicha! Mnalo hilo!
Jibu swali, kilichoandikwa kipo au hakipo? Kina mantiki au hakina? Hicho ndicho cha muhimu zaidi kuambiwa Watanzania. Unaogopa umati maana mnajua idadi ya wanaoshikiwa akili inazidi kupungua kila kukicha! Mnalo hilo!