Slaa anaamini katika nini? Kipenzi mbeba maono, msaliti wa umma au maslahi binafsi?

Je ni Nani huyu Slaa?

  • Mbeba Maono

    Votes: 6 11.1%
  • Msaliti wa Umma

    Votes: 9 16.7%
  • Opportunist/Maslahi Binafisi

    Votes: 39 72.2%

  • Total voters
    54
  • Poll closed .
Katibu mkuu wa Chama kikuu Cha Upinzani ni cheo kikubwa sana si kwa Tanzania tu bali nchi nyingi Duniani. Tena Dr Slaa alienda hadi kuua kuwa Mgombea Uraisi na kupata % si haba.

Sasa unapo kuja kuwa chini ya Waziri na usha wahi kuwa kiongozi wa kitaifa hii ni Demotion ila watu tunaweza ona kapanda ila hii ni kushuka thamani.

Ni sawa ja Marehemu Samweli Sita alivyo toka kuwa Spika wa Bunge na kwenda kuwa Waziri wa Africa Mashariki. Usipika ni Cheo kikubwa kabisa kabisa sasa tena kuja kuwa Waziri ni kujishusha kwa kiwango cha kutisha.

Mifano iko Mingi sana ila shida inabakia ni NJAAA hakuna uzalendo wala Mjomba wake na uzalendo ni NJAAA hata ningejuwa mimi ningeshuka tu kwa sababu ya NJAAA tu.

Ila Isingekuwa NJAA Dr Mihogo hakupaswa kuwa Balozi na kuja kuwajibika kwa Waziri
 
Wewe Dr slaa yuko scandinavia kule anakula bata balaa si unaona amekua kijana kule anasimamia nchi kama tisa hivi yani fulu kusafiri na kujionea ma vivutio dizanini kama yuko vacation amestaafu kwa ufahari kuliko angebaki ufipa pale ofisi kama ka stoo na fastration kibao. ACHA mzee wawatu afaidi uzee wake
 

Katibu mkuu wa chama kipi? Angalia na chama chenyewe. UDP? DP? CUF? TLP? CHADEMA? CCM? etc.
Unakuwa katibu mkuu wa chama, makao makuu Buguruni au Lumumba, au Ufipa unajilinganisha na mtu aliyeko 1st world? Mtu anayeishi kwenye highest life quality! Be serious!

Kuna kitu tunaita quality of life!
 
Alijisaliti mwenyewe kwa upumbavu wake.

K ile ina elements za utamu usio wa kawa! Ila hapa hajajisaliti hata tone. The mwanzo justified that mwisho .... ramani ilikolezwa na mdau mwingine kujiunga na CHADEMA. Sio ishu ya mafahali mbili boma moja. Wala! Ilibidi ramani ibadilishwe kwa kuhamisha kete. Wadanganywa mpo?


(From a certified cuckoo's head)
 

 
kazi ni kubwa kuliko watenda kazi

Mungu atawatia nguvu wapambane tena kwa maisha yao, sio kumtegemea mzee slaa
Kuhusu ufisadi na mafisadi msimamo wangu bado ule ule sishirikiani nao, Slaa alituambia Lowassa ni fisadi nikamwamini leo mwenzetu anakunywa naye mvinyo, mimi niko nje ya tent nawatizama. Lol.
 
kila mtu anafaida kwa namna yake, swali ni je unafaidi kihalali au kwa gharama ya watanzania?

 
Eye opener, thanks

 
So the principle has moved to voice for opportunity not for the voiceless?



 
We keep digging big holes in width height and length for ourselves and blame the westerners for our failed generations, is slaa not one of the best digger of the holes of our times?
 
Dr Slaa alifikia uamuzi huo wa kujiuzulu na kuondoka kwenye chama kwani siku zote chama hicho kilikuwa kwenye vita dhidi ya mafisadi lakini chama kikageuka, hiyo ni sawa na ‘choo kuhamia chumbani’

Sasa cha kujiuliza tu je choo alichokikimbia chumbani kipo wapi leo?
 
He is soon retiring and peharps looking for retirement benefit because the old age is catching up with him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…