MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,461
- 8,669
Katibu mkuu wa Chama kikuu Cha Upinzani ni cheo kikubwa sana si kwa Tanzania tu bali nchi nyingi Duniani. Tena Dr Slaa alienda hadi kuua kuwa Mgombea Uraisi na kupata % si haba.
Sasa unapo kuja kuwa chini ya Waziri na usha wahi kuwa kiongozi wa kitaifa hii ni Demotion ila watu tunaweza ona kapanda ila hii ni kushuka thamani.
Ni sawa ja Marehemu Samweli Sita alivyo toka kuwa Spika wa Bunge na kwenda kuwa Waziri wa Africa Mashariki. Usipika ni Cheo kikubwa kabisa kabisa sasa tena kuja kuwa Waziri ni kujishusha kwa kiwango cha kutisha.
Mifano iko Mingi sana ila shida inabakia ni NJAAA hakuna uzalendo wala Mjomba wake na uzalendo ni NJAAA hata ningejuwa mimi ningeshuka tu kwa sababu ya NJAAA tu.
Ila Isingekuwa NJAA Dr Mihogo hakupaswa kuwa Balozi na kuja kuwajibika kwa Waziri
Sasa unapo kuja kuwa chini ya Waziri na usha wahi kuwa kiongozi wa kitaifa hii ni Demotion ila watu tunaweza ona kapanda ila hii ni kushuka thamani.
Ni sawa ja Marehemu Samweli Sita alivyo toka kuwa Spika wa Bunge na kwenda kuwa Waziri wa Africa Mashariki. Usipika ni Cheo kikubwa kabisa kabisa sasa tena kuja kuwa Waziri ni kujishusha kwa kiwango cha kutisha.
Mifano iko Mingi sana ila shida inabakia ni NJAAA hakuna uzalendo wala Mjomba wake na uzalendo ni NJAAA hata ningejuwa mimi ningeshuka tu kwa sababu ya NJAAA tu.
Ila Isingekuwa NJAA Dr Mihogo hakupaswa kuwa Balozi na kuja kuwajibika kwa Waziri