Nimefungua account ya Skype kupitia Computer nikitaka ku sign in kupitia simu inagoma, simu yangu Nokia C5.Ila kwa kutumia Pc inakubali.Na vp ambaye ashaitumia credit unawekaje? na matumizi yake nimazuri? Msaada jamani.
Nimefungua account ya Skype kupitia Computer nikitaka ku sign in kupitia simu inagoma, simu yangu Nokia C5.Ila kwa kutumia Pc inakubali.Na vp ambaye ashaitumia credit unawekaje? na matumizi yake nimazuri? Msaada jamani.
Angalia password yako simu ina mtindo wa kuanza na herufi kubwa then herufi kuanzia ya pili ndogo lets say pasword yako ni kindunye kwa simu ukitype itakaa Kindunye yaani K inaanza kubwa
Skype kwa skype ni bure ila kupiga landlines au operator wengine ndo na hela
Inategemea na unaempigia kwa sababu skype ni ya marekani ukimpigia mbongo utachajiwa kama we mmarekani unapiga bongo, mfano kupiga marekani inakua rahisi kuliko kupiga tanzania
Credit unanunua kwenye website yao ukiingia kule utaona maelekezo.
Kama upo makini na offer za internet credit za skype zinatolewa sana bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.